PoaKwenye uso,mikono,miguu. Unatumia na inaondoa kila kitu na kubaki bila unywele
Kwa bibi usitumie those chemicals na kwa bibi hazifai kabisa pia hiyo ngozi ya kwa bibi laini sana maana inaweza kukubabua ukabaki na vidonda
Kwa Bibi huko hyo kazi naweza kuifanya mimi,karibu. Hutoki vipele kabisa..Inaweza kutumika kwa nywele za kwa bibi
Yani videvu vyao laiiinii kama tako lamtoto. Sasa ukute kidevu cha mpwayungu village (JF person of the year 2022) kilivyo rough utadhani ngumi ya ajuza.Wanajeshi huwa wanapaka mafuta ya bunduki yanazuia sana vipele
😂😂😂Fuga ndevu ili usikomae kidevu wewe,
Sasa utakuwa unakuna nini ukiwa unafikiria maisha?
Jamaa sugu sana hawa, wananyoa ndevu kwa viwembe na hawapatwi na vipele
Wanajeshi huwa wanapaka mafuta ya bunduki yanazuia sana vipele
Wananyoa, mara mbili kwa wiki.Direct kwenye hoja
Mimi ni miongoni mwa wasiopenda ndevu kabisaa. Nikitoa ndevu naonekana nazifu sana na najisikia kujiamini kuliko nikiacha ndevu ziote.
Utaratibu wangu ni kunyoa mara Moja Kwa week na inanigalimu sana na inanipotezea muda. Hata hivyo, ndani ya week lazima ndevu ziote na kuchoma na kutoa vipele.
Mwanzo nilikua natumia nyembe nikaona sipati matokeo nayoyataka nikawa natumia mashine but no any improvement.
But wanajeshi na askali Kwa matakwa ya taaluma Yao huwa hawafugi ndevu na always wako smart. Ebu wakuu tusaidieni hints za namna ya kunyoa ndevu na kuhepuka kutokea vipele.
Karibuni
Aifai iyo kituMagic powder tumia,kidevu cheupe kabisa
7-9k inauzwa
Wanateseka Sana usiwaone videvu vyeupe .waulize wenye saloon karibu na kambi zao utaambiwa wananyoa mpaka Kwa mkopo maana ukikutwa na ndevu unapewa Lindo ndo kama sio zamu yakoDirect kwenye hoja
Mimi ni miongoni mwa wasiopenda ndevu kabisaa. Nikitoa ndevu naonekana nazifu sana na najisikia kujiamini kuliko nikiacha ndevu ziote.
Utaratibu wangu ni kunyoa mara Moja Kwa week na inanigalimu sana na inanipotezea muda. Hata hivyo, ndani ya week lazima ndevu ziote na kuchoma na kutoa vipele.
Mwanzo nilikua natumia nyembe nikaona sipati matokeo nayoyataka nikawa natumia mashine but no any improvement.
But wanajeshi na askali Kwa matakwa ya taaluma Yao huwa hawafugi ndevu na always wako smart. Ebu wakuu tusaidieni hints za namna ya kunyoa ndevu na kuhepuka kutokea vipele.
Karibuni
MAJI YA BETRIDirect kwenye hoja
Mimi ni miongoni mwa wasiopenda ndevu kabisaa. Nikitoa ndevu naonekana nazifu sana na najisikia kujiamini kuliko nikiacha ndevu ziote.
Utaratibu wangu ni kunyoa mara Moja Kwa week na inanigalimu sana na inanipotezea muda. Hata hivyo, ndani ya week lazima ndevu ziote na kuchoma na kutoa vipele.
Mwanzo nilikua natumia nyembe nikaona sipati matokeo nayoyataka nikawa natumia mashine but no any improvement.
But wanajeshi na askali Kwa matakwa ya taaluma Yao huwa hawafugi ndevu na always wako smart. Ebu wakuu tusaidieni hints za namna ya kunyoa ndevu na kuhepuka kutokea vipele.
Karibuni
Chapa mambaJamaa sugu sana hawa, wananyoa ndevu kwa viwembe na hawapatwi na vipele