Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Wanaukumbi,
Wakili aliyewasilisha kesi hiyo kwa niaba ya taasisi hiyo, Maira Pinheiro, alinukuliwa na vyombo vya habari vya Brazil akisema kwa vile Brazili imetia saini Mkataba wa Roma, inawajibika kuhakikisha kuwa uhalifu uliotolewa katika sheria hiyo (uhalifu wa kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki) huchunguzwa na kuadhibiwa.
Sasa hivi hawa wanajeshi Magaidi wataendelea kukamatwa kila watakapo kuwa wanasafiri kwa Ugaidi wanaofanya huko Gaza.
Source: CNN https://search.app/3RMGSRBB1KUKwVPHA
View: https://x.com/silentlysirs/status/1875859180474761308?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wakili aliyewasilisha kesi hiyo kwa niaba ya taasisi hiyo, Maira Pinheiro, alinukuliwa na vyombo vya habari vya Brazil akisema kwa vile Brazili imetia saini Mkataba wa Roma, inawajibika kuhakikisha kuwa uhalifu uliotolewa katika sheria hiyo (uhalifu wa kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki) huchunguzwa na kuadhibiwa.
Sasa hivi hawa wanajeshi Magaidi wataendelea kukamatwa kila watakapo kuwa wanasafiri kwa Ugaidi wanaofanya huko Gaza.
Source: CNN https://search.app/3RMGSRBB1KUKwVPHA
View: https://x.com/silentlysirs/status/1875859180474761308?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw