Wanajeshi wa Israel wanakabiliwa na hatari kubwa ya kukamatwa nje ya nchi baada kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza

Wanajeshi wa Israel wanakabiliwa na hatari kubwa ya kukamatwa nje ya nchi baada kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi,

Wakili aliyewasilisha kesi hiyo kwa niaba ya taasisi hiyo, Maira Pinheiro, alinukuliwa na vyombo vya habari vya Brazil akisema kwa vile Brazili imetia saini Mkataba wa Roma, inawajibika kuhakikisha kuwa uhalifu uliotolewa katika sheria hiyo (uhalifu wa kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki) huchunguzwa na kuadhibiwa.

Sasa hivi hawa wanajeshi Magaidi wataendelea kukamatwa kila watakapo kuwa wanasafiri kwa Ugaidi wanaofanya huko Gaza.

Source: CNN https://search.app/3RMGSRBB1KUKwVPHA


View: https://x.com/silentlysirs/status/1875859180474761308?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Wanaukumbi,

Wakili aliyewasilisha kesi hiyo kwa niaba ya taasisi hiyo, Maira Pinheiro, alinukuliwa na vyombo vya habari vya Brazil akisema kwa vile Brazili imetia saini Mkataba wa Roma, inawajibika kuhakikisha kuwa uhalifu uliotolewa katika sheria hiyo (uhalifu wa kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki) huchunguzwa na kuadhibiwa.

Sasa hivi hawa wanajeshi Magaidi wataendelea kukamatwa kila watakapo kuwa wanasafiri kwa Ugaidi wanaofanya huko Gaza.

Source: CNN https://search.app/3RMGSRBB1KUKwVPHA


View: https://x.com/silentlysirs/status/1875859180474761308?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Wapalestina wakamatwe kwa kufanya ubakaji, uuaji wa wajawazito , wazee , watoo\to na wasio na hatia 7-1-2023
 
Maira Pinheiro, alinukuliwa na vyombo vya habari vya Brazil akisema kwa vile Brazili imetia saini Mkataba wa Roma, inawajibika kuhakikisha kuwa uhalifu uliotolewa katika sheria hiyo (uhalifu wa kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki) huchunguzwa na kuadhibiwa.
Labda akafungue hiyo kesi ya mchongo kwingine, siyo Brazil.

Kuna siku mkulungwa Luiz Inácio Lula da Silva wa huko Brazil alitamka shombo dhidi ya Israel, nyomi ya maandamano ya umma kumpinga na kuunga mkono Israel dhidi ya magaidi ilikuwa siyo ya kawaida..

View: https://youtube.com/shorts/8O_FVdgToXQ?si=Q8uK-8WGF3SFmqjM
 
Labda akafungue hiyo kesi ya mchongo kwingine, siyo Brazil.

Kuna siku mkulungwa Luiz Inácio Lula da Silva wa huko Brazil alitamka shombo dhidi ya Israel, nyomi ya maandamano ya umma kumpinga na kuunga mkono Israel dhidi ya magaidi ilikuwa siyo ya kawaida..

View: https://youtube.com/shorts/8O_FVdgToXQ?si=Q8uK-8WGF3SFmqjM

Iyo video sio ya kuunga mkono Israel we tapeli wa mitandaoni!! Tupe ushaid iyo nyomi iliwaunga mkono uyo mzungu Shoga anamipicha mingi kama iyo lkn aina ukweli wowote!!! nyomi ya kuunga mkono Israel mbona atuoni flag ya Israel tuanzie apo???
 
Iyo video sio ya kuunga mkono Israel we tapeli wa mitandaoni!! Tupe ushaid iyo nyomi iliwaunga mkono uyo mzungu Shoga anamipicha mingi kama iyo lkn aina ukweli wowote!!! nyomi ya kuunga mkono Israel mbona atuoni flag ya Israel tuanzie apo???
Iyo Video ya mchongo ungepeleka kwa mazwazwa uko unapotoaga na misadaka pengine ungeshangiliwa na kutukuzwa lkn apa JF utakwama picha iyo sio ya kuunga mkono Israel muongo zwazwa mkubwa ww.
 
Iyo video sio ya kuunga mkono Israel we tapeli wa mitandaoni!! Tupe ushaid iyo nyomi iliwaunga mkono uyo mzungu Shoga anamipicha mingi kama iyo lkn aina ukweli wowote!!! nyomi ya kuunga mkono Israel mbona atuoni flag ya Israel tuanzie apo???
Tatizo lenu mmezoea kulishwa Matango Pori ya Aljazeera na PressTv ya Iran ukiambiwa ukweli unaona ni uongo. Huko Brazil wanawaunga mkono sana Israel dhidi ya magaidi wa Hamas tatizo lenu Wafuga Midevu na Majini hamkubali ukweli
 

Attachments

  • v12044gd0000cnee32vog65is40p1kpg.mp4
    19.3 MB
  • v09044g40000clfe64fog65r11p4caig.mp4
    3.8 MB
Mijitu mengine sijui inapata faida gani kudanganya watu.!!
 
Iyo Video ya mchongo ungepeleka kwa mazwazwa uko unapotoaga na misadaka pengine ungeshangiliwa na kutukuzwa lkn apa JF utakwama picha iyo sio ya kuunga mkono Israel muongo zwazwa mkubwa ww.
Si kosa lako bali ujinga ulionao ndiyo umekusababisha upinge kila kitu kama ilivyo kawaida ya Mazuzu wenzio!!!
 
Tatizo lenu mmezoea kulishwa Matango Pori ya Aljazeera na PressTv ya Iran ukiambiwa ukweli unaona ni uongo. Huko Brazil wanawaunga mkono sana Israel dhidi ya magaidi wa Hamas tatizo lenu Wafuga Midevu na Majini hamkubali ukweli
Wewe muongo watu wakiandamana kuungamkono kitu inakuwa ivi flag usika ndio inatawala maandamano lkn ayo maandamano flag inayotawaya maandamano sio ya Israel kutakuwa na waisrael wachache wamejiunga ktk kundi la maandamano tukuwekewee maandamano mfano ya Palestine pengine ndio utaelewa maandamano ya kuunga mkono Israel yalifanyika marekani lkn sio Brazil !!
 
Wanaukumbi,

Wakili aliyewasilisha kesi hiyo kwa niaba ya taasisi hiyo, Maira Pinheiro, alinukuliwa na vyombo vya habari vya Brazil akisema kwa vile Brazili imetia saini Mkataba wa Roma, inawajibika kuhakikisha kuwa uhalifu uliotolewa katika sheria hiyo (uhalifu wa kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki) huchunguzwa na kuadhibiwa.

Sasa hivi hawa wanajeshi Magaidi wataendelea kukamatwa kila watakapo kuwa wanasafiri kwa Ugaidi wanaofanya huko Gaza.

Source: CNN https://search.app/3RMGSRBB1KUKwVPHA


View: https://x.com/silentlysirs/status/1875859180474761308?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Huyu bwana kwa kuokoteza vijihabari vya kujifariji hajambo. Utaendelea kusubiri mpaka dunia inafika mwisho kijana. Hilo dua la kuku halitampata mwewe kamwe. Waambie jamaa zako, suluhu ni kuacha vitendo vya ugaidi dhidi ya waisrael.
 
Wewe muongo watu wakiandamana kuungamkono kitu inakuwa ivi flag usika ndio inatawala maandamano lkn ayo maandamano flag inayotawaya maandamano sio ya Israel kutakuwa na waisrael wachache wamejiunga ktk kundi la maandamano tukuwekewee maandamano mfano ya Palestine pengine ndio utaelewa maandamano ya kuunga mkono Israel yalifanyika marekani lkn sio Brazil !!
Ulivyo zuzu hata bendera za Israel huzioni maana umezoea kuona bendera za Magaidi tu. Acha nikuache maana wewe ni zuzu huwezi kuelimika maana Ujinga unakusumbua!! Hata Magaidi wa Hamas wanaendelea kupigwa na kipigo cha Mbwa-Koko!!!
 
Labda akafungue hiyo kesi ya mchongo kwingine, siyo Brazil.

Kuna siku mkulungwa Luiz Inácio Lula da Silva wa huko Brazil alitamka shombo dhidi ya Israel, nyomi ya maandamano ya umma kumpinga na kuunga mkono Israel dhidi ya magaidi ilikuwa siyo ya kawaida..

View: https://youtube.com/shorts/8O_FVdgToXQ?si=Q8uK-8WGF3SFmqjM


Brazil nchi ya wakatoliki kamwe haiwezi kuunga mkono Israel. Papa mwenyeywe anainyooshea kidole Israel kwa udhalimu wake huko Gaza!
 
Aya nani muongo wenye akili watajua zwazwa awajifichi !!!!! Maandamano ya chama cha siasa kilichoondoshwa Madalakani cha mzee JAIR BOIS0NARO chama icho ndio kiliamisha EMBASSY ya Brazil kutoka Telaviv kwenda Jerusalem so unaweza sema uyo rais alikuwa anajipendekeza kwa Israel lkn wananchi awakuwa upande wa israel ndio mana nilisema izi flag za israel nikama tano tu ktk maandamano ya wafuasi wa Rais Jair Boisonaro ambao walikuwa wakipinga kuondoshwa kwa Rias wao yani uyo kibaraka wa Israel lkn sio sana sijui aliaidiwa nini adi kuamisha ule ubalozi wao. Kwasasa kaangia Madalakani mzee LULA DA SILVER ambae alaka sana kaamisha Ubalozi kutoka JERUSALEM kurudi Telaviv lkn akutosheka Rais Lula da silver akavunja kabisa Romantic kati Brazil na Israel kwasasa awana kabisa Balozi uko Israel na wamejiunga na kesi dhidi ya Israel,, natuma picha kudhibitisha yale maandamano sio ya kuunga mkono Israel kama anavodai uyo zwazwa na mwenzie akili mnazo Mtachekecha ingekuwa ni kuunga mkono Israel flag za Israel ndio zingetamalaki lkn aya yalikuwa ya chama cha siasa kilichoondoshwa Madalakani na LULA DA SILVA. PICHA, zinakuja
 
images-14.jpeg
 
Back
Top Bottom