Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JahannamWanajeshi wa Israel wanakabiliwa na shubiri chungu sana kwenye uvamizi wao huko nchini Lebanon.
Hapo kwenye video ni kikosi maalum cha makomando cha Israel kilicho angamizwa na wapiganaji wa Hizbullah.
Hujaona vimondo jana vinashuka Tel Aviv?kwa hiyo uwanja wa mapigano umo Lebanon na sio Israel?
So hapo ni Tel Aviv?Hujaona vimondo jana vinashuka Tel Aviv?
Muda mwingine muwe mnapitia post humu. Issue hiyo imesharipotiwa sana humu. Leteni mambo mapyaWanajeshi wa Israel wanakabiliwa na shubiri chungu sana kwenye uvamizi wao huko nchini Lebanon.
Hapo kwenye video ni kikosi maalum cha makomando cha Israel kilicho angamizwa na wapiganaji wa Hizbullah.
Acha wafeWanajeshi wa Israel wanakabiliwa na shubiri chungu sana kwenye uvamizi wao huko nchini Lebanon.
Hapo kwenye video ni kikosi maalum cha makomando cha Israel kilicho angamizwa na wapiganaji wa Hizbullah.
Mbali na kwamba IDF wana operate ndani ya ngome za Hizbullah magaidi yaliyohusika ktk hilo tukio zaidi ya 20 waliuwawa na drone pale pale ila huwez kuwaona maana IDF huwa Wana nidhamu ya Hali ya juu wanaheshimu maitikwa hiyo uwanja wa mapigano umo Lebanon na sio Israel?
Hayo ni mambo ya kawaida kwenye vita.Wanajeshi wa Israel wanakabiliwa na shubiri chungu sana kwenye uvamizi wao huko nchini Lebanon.
Hapo kwenye video ni kikosi maalum cha makomando cha Israel kilicho angamizwa na wapiganaji wa Hizbullah.
Wanampigania Netanyahu ili ajekuacha ligand kuwa hakuwahi kushindwa vitaIDF iachane na hio operation kuingia Lebanon, kwa namna yeyote hawawezi vita ya ardhini.
Watauawa wengi sana.