Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 6,607
- 14,076
Aah wapi!Mbali na kwamba IDF wana operate ndani ya ngome za Hizbullah magaidi yaliyohusika ktk hilo tukio zaidi ya 20 waliuwawa na drone pale pale ila huwez kuwaona maana IDF huwa Wana nidhamu ya Hali ya juu wanaheshimu maiti
Leo wamelipua makaburi ya Bashoura huko Beirut.