🙏🙏🙏🙏 Safi ngoja wanaisrael wa geita waje
Acha wauliwe kabisa hadi waishe, si wanajifanya wabishi.Wanaukumbi.
⚡️Habari za asubuhi, wote hawa wamuliwa huko Kaskazini mwa Gaza.
🔻Sajini Orr Katz, umri wa miaka 20.
🔻Sgt. Nave Yair Asulin, umri wa miaka 21.
🔻Sajini Gary Lalhruaikima Zolat, umri wa miaka 21.
🔻Sajini Ofir Eliyahu, umri wa miaka 20.
View: https://x.com/suppressednws/status/1856194763201929559?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Acha wauliwe kabisa hadi waishe, si wanajifanya wabishi.
Tulishawaambia hawaiwezi Hezbollah, hawasikii.
Kule Ukraine, rafiki wa karibu wa Putin, raisi Donald Jonathan Trump, ana mpango wa kusitisha vita kwa kuigawana Ukraine na bwana Putin..Habari njema
Usiwaamini Marais wamarekani nikiongea kama mpenda haki hakuna sababu ya kuigawa ukraine na anacho fanya Russia ni Ubabe wa kipuuzi nikiongea kimagharibi ni kwamba kama itagawiwa hio Ukraine itakua jambo jema sanaKule Ukraine, rafiki wa karibu wa Putin, raisi Donald Jonathan Trump, ana mpango wa kusitisha vita kwa kuigawana Ukraine na bwana Putin..
Hii ni habari njema au habari mbaya?
Mleta mada kaleta tu taarifa au kasemaje kwaniKwa hawa si wako vitani au? Au walioenda tour huko Gaza?
Huku tanzania tunakaa sana darasani, unatoka class umri mkubwa na ukikosa cha kufanya unakua kama umepoteza muda darasani.Wanaukumbi.
⚡️Habari za asubuhi, wote hawa wamuliwa huko Kaskazini mwa Gaza.
🔻Sajini Orr Katz, umri wa miaka 20.
🔻Sgt. Nave Yair Asulin, umri wa miaka 21.
🔻Sajini Gary Lalhruaikima Zolat, umri wa miaka 21.
🔻Sajini Ofir Eliyahu, umri wa miaka 20.
View: https://x.com/suppressednws/status/1856194763201929559?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Kuigawa Ukraine iwe jambo jema kwa nini?Usiwaamini Marais wamarekani nikiongea kama mpenda haki hakuna sababu ya kuigawa ukraine na anacho fanya Russia ni Ubabe wa kipuuzi nikiongea kimagharibi ni kwamba kama itagawiwa hio Ukraine itakua jambo jema sana
Survival of the fittest.Ikiwa wamekubali kwa utashi wao kwenda kupigana acha wauawe tu,vita haina macho ikiwa upande ule wanauawa wakubali na upande wao wauawe.
Mwarabu kashazoea mateso kwamiaka mingi vile palestina inachangiwa na West yote lkn japo kwasasa vita inakula vichwa vya mvamizi wao wa ardhi vifo vimekuwa vingi kwao na vilema kibao twende tu mdogomdogo unajua najua mwisho ni mvamizi ndio atatoka na chup mkononi😜😜Vita ni ua nikuue lakini Vita hii inakula kwa Mwarabu.