imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Mkuu wewe nina imani ni Mwisilam wa Uingereza, washaurini Waarabu waache Vita na warudishe Mateka kuliko kuwachochea wapigane mpaka waishe.Haina shida ila nao hawataacha lipite, kwani hata hao walioachwa yatima watakuwa na kuja kulipa tena na tena
Yaani hakuna ugomvi mbaya kama wa visasi maana huwa hauishi