Hitlar hakufanya kazi yake vizuriAcheni kabisa kujidanganya hakuna Mtu aliyeuwawa na kuteswa katika Mataifa ya Ulaya kama Muisraeli amekomaa haswa pogroms baada ya pogroms Genocide ya Hitler hatimae wamerudi kwao hatoki hapo na YHWH yuko nao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hitlar hakufanya kazi yake vizuriAcheni kabisa kujidanganya hakuna Mtu aliyeuwawa na kuteswa katika Mataifa ya Ulaya kama Muisraeli amekomaa haswa pogroms baada ya pogroms Genocide ya Hitler hatimae wamerudi kwao hatoki hapo na YHWH yuko nao.
Wakati huo huo, ikiwa kama Hamas wemejenga ngome zao chini ya ardhi pale Kariakoo, na chini ya Hospitali ya Muhimbili, wewe ukiwa ni IDF ungefanyaje?Palestina wanapigana kijesh wanauwa wanajesh kisheria wapo sawa lkn unachosema ww ingekuwa wanauwa 100 Hamas hii vita wangeshashinda kitambo!! Lkn sasa wanauwa wamama watoto wachanga mia au mia200 kwaakili yako unadhani litazuiya vita na Hamas wataweka mtutu chini na kitambaa cheupe juu😀😀 tufanye kama ww ndio Hamas afu watoto wako 3 wote wameuwawa na IDF mtutu unao mkononi chaguo lako litakuwa lipi????
Yuko wapi leo hii??😆😆Hitlar hakufanya kazi yake vizuri
Washabiki wa Ukraine walikua ama hawana akili ila hii mbungi ya mido ist mzayuni hatoboi ni suala la muda tu mpaka sasa israhell hajui anafanya ama anataka nini ila tuupe muda nafasi yakeUkwel unachelewa kusambaa wacha tuupe mda ukwel tutaujua nani anashinda Israel or hamas or hezbollah
Ata watetezi wa ukrain walikua wanasema ivyo ivyo ila mwisho wa sku 🇷🇺 anazidi kuchukua majimbo
Ukwel unachelewa
Wawarudishe wapi jeshi lenye nguvu liende likakomboe magaidi wao waliotekwaGaza ni kaeneo kenye marefu ya Kilometres 41 na kwa Mapana ya 6 Kilometres kamezungukwa na IDF maeneo yote kasoro kusini ambako ni Egypt.
IDF ni moja ya Majeshi yenye nguvu katika Mashariki ya Kati na kwengineko hiyo Vita Mwarabu hawezi kutoboa atauwawa kama Kuku.
Waisilamu wa Tanzania mnatakiwa muwashauri Waarabu kuwa waache Vita warudishe mateka wote waliowateka Israel Judea na Samaria.
Sasa kama hizo ngome zilojengwa huko Kariakoo na muhimbili kuripuliwa mbona bado vita inaendelea na magaidi ya kizayuni kufyekwaWakati huo huo, ikiwa kama Hamas wemejenga ngome zao chini ya ardhi pale Kariakoo, na chini ya Hospitali ya Muhimbili, wewe ukiwa ni IDF ungefanyaje?
Labda ishinde na njaaKumbuka Urban Guerillas style of fighting ni ngumu ndio maana Maelfu kwa Maelfu ya Watu wanauwawa.
Lakini mwishowe Israel itashinda Trusts me.
Hii ni misemo tu ya Kijinga kutokea 1948 ardhi iliyochukuliwa sio haba imebakia hiyo Gaza na Westbank kidogo.Labda ishinde na njaa
Uzuri wa vita sio sherehe za birthidaySasa kama hizo ngome zilojengwa huko Kariakoo na muhimbili kuripuliwa mbona bado vita inaendelea na magaidi ya kizayuni kufyekwa
Uzuri pia waarabu Wenye akili wanajua mziki wa Israel wanaishia kutoa matamshi ya kulaani tu, hawaingizi pua, Leo wanakuna RiyadhSasa kama hizo ngome zilojengwa huko Kariakoo na muhimbili kuripuliwa mbona bado vita inaendelea na magaidi ya kizayuni kufyekwa
Hio Ghaza na west Bank achukue sasa kama yeye lgbtq kweliHii ni misemo tu ya Kijinga kutokea 1948 ardhi iliyochukuliwa sio haba imebakia hiyo Gaza na Westbank kidogo.
Hamas ilisema tokea mwanzo ipo na Muumba tu inachokitaka kutoka kwa wapenda haqqi amani na waislam ni dua tu wao watajua wanamalizanaje na adui mzayuni wao wakae vikao wakimaliza mzayuni anapelekewa moto tu GhazaUzuri wa vita sio sherehe za birthiday
Uzuri pia waarabu Wenye akili wanajua mziki wa Israel wanaishia kutoa matamshi ya kulaani tu, hawaingizi pua, Leo wanakuna Riyadh
Ujenzi wa Settlers unaendelea kwa kasi sana na Trump kaahidi kuitambua rasmi West bank kuwa ni eneo la IsraelHio Ghaza na west Bank achukue sasa kama yeye lgbtq kweli
🙏🙏🙏🙏 Safi ngoja wanaisrael wa geita waje
Kisasi chao ni kuporomosha magorofa na kua watoto tu.Kisasi chao kutakuwa mara kumi ya hapo.
Hata wewe unaweza ukaitambua ila moto utapelekwa tu yaaniUjenzi wa Settlers unaendelea kwa kasi sana na Trump kaahidi kuitambua rasmi West bank kuwa ni eneo la Israel
Hizballah wakiendelea kujizatiti mambo lazima yawe magum kwa isreli. Ni sawa kisema naenda kulinda mahindi yasiibiwe halafu unarudi na kusema mahindi na maharege vyote tumenyanganywa..Kisasi chao ni kuporomosha magorofa na kua watoto tu.
CHINJA CHINJA ata Israel walikuwepo leo wapo wapi Sholon n wengine.Yuko wapi leo hii??😆😆
Umezirukia hizi habari fanya research ustaziCHINJA CHINJA ata Israel walikuwepo leo wapo wapi Sholon n wengine.
Inakula kwenu Waarabu.Hata wewe unaweza ukaitambua ila moto utapelekwa tu yaani