Wanajeshi wa Israel wanazidi kuuliwa huko Gaza

Wanajeshi wa Israel wanazidi kuuliwa huko Gaza

Hamas ilisema tokea mwanzo ipo na Muumba tu inachokitaka kutoka kwa wapenda haqqi amani na waislam ni dua tu wao watajua wanamalizanaje na adui mzayuni wao wakae vikao wakimaliza mzayuni anapelekewa moto tu Ghaza
Kwani huyo muumba ni Hamas peke yao
 
Wakati huo huo, ikiwa kama Hamas wemejenga ngome zao chini ya ardhi pale Kariakoo, na chini ya Hospitali ya Muhimbili, wewe ukiwa ni IDF ungefanyaje?
Akuna ushaidi kuwa kulikuwa na kambi ayo maeneo zaidi ya propaganda za wazayuni mashilika mengi ya UN yalikana icho kitu zaidi ni propagandatu ya IDF lengo lao lilikuwa ni kuuwa wasionatia wengi ivo waliona wavunje mahospital ili wakose kutibiwa raia w kipalestina kinyume cha sheria lkn kafanya Israel akuna kelele.ingekuwa ndio Hamas daaa awa wachungaji wangepiga kalele kuwa huu ndio Ugaid awa Hamas makatili sn hii kinyume cha sheria tukiwaita Magaid sababu ndio kama hiii apo mungu atapunzika kusifiwa na kutajwa adi mzuka umwishe ndio atamkumbuka mungu wake!!! adi vipasa saut vife kwa mate. Ya kuwalani wapalestine. Akili mnazo lkn azijui haki na batili. Lkn leo palestine wamefungiwa kila kitu chakula maji umeme hospitall misikiti makanisa lkn wachungaji kimyaaa akuna kulaani!!🤔🤔🤔
 
i
We ndio utakuwa mbumbumbuuuuu kwakua ww utashi wako unataka Hamas waweke mtutu chini kisha mje na NYUZI kibao zakuwasifia miungu yenu wazayuni hooo jehova kashindikana haaaa!, apa Nimekujibu kwa mfano uliotokea Vietnam ukisema kule kulikuwa na washilika kwani Hamas yupo pekeyake Hezbullaj Yemen Iraq Syria mzee mwenyewe Iran anaewafanya Wazayuni wote walale kwenye mashimo. Misitu ya kimkakati mbona Ipo Gaza. Sisi tunasema vita viendelee endeleeni kuuwa vitoto vichanga. Sisi tunauwa wanajesh mwisho mshindi atafaamika vifo vya watoto Dunia yote inalalamika Ichi ya Zayuni inachukiwa kila pembe ya Dunia endeleeni na mradi wenu wakuuwa watoto!! Lkn mbungi Bado ipo sana. . Akuna ushindi w mezan!!!
Hajielewi huyo huyo mungu wao wanamuita YESU kristo afu wanasema alizaliwa 4 to 6 years B.C sa huyo kristo ni nani hawatuambi 😄
 
Wazayuni wanatakiwa wauliwe na kila mtu washenzi sana endeleeni kuota
Nyau katuma message kwa wa Iran eti Missile za Iran zili cost 2.4 Billion zingejenga Iran na yeye hizo silaha anazo pewa zingejenga maisha mazuri kwa Israel kichaa anataka kuona wenzao vichaa 😄

Nyau hataki vita eti na Iran haha anaogopa kipigo kina kuja, hako kamessage kake anafikiria wa Iran watampindua AyatollahKhomen. Masikini anataka wa Iran wampindue Khomeni ndoto zingine noma sana.
 
Akuna ushaidi kuwa kulikuwa na kambi ayo maeneo zaidi ya propaganda za wazayuni mashilika mengi ya UN yalikana icho kitu zaidi ni propagandatu ya IDF lengo lao lilikuwa ni kuuwa wasionatia wengi ivo waliona wavunje mahospital ili wakose kutibiwa raia w kipalestina kinyume cha sheria lkn kafanya Israel akuna kelele.ingekuwa ndio Hamas daaa awa wachungaji wangepiga kalele kuwa huu ndio Ugaid awa Hamas makatili sn hii kinyume cha sheria tukiwaita Magaid sababu ndio kama hiii apo mungu atapunzika kusifiwa na kutajwa adi mzuka umwishe ndio atamkumbuka mungu wake!!! adi vipasa saut vife kwa mate. Ya kuwalani wapalestine. Akili mnazo lkn azijui haki na batili. Lkn leo palestine wamefungiwa kila kitu chakula maji umeme hospitall misikiti makanisa lkn wachungaji kimyaaa akuna kulaani!!🤔🤔🤔
Kwani kuna swala la dini hapo
 
Nyau katuma message kwa wa Iran eti Missile za Iran zili cost 2.4 Billion zingejenga Iran na yeye hizo silaha anazo pewa zingejenga maisha mazuri kwa Israel kichaa anataka kuona wenzao vichaa 😄

Nyau hataki vita eti na Iran haha anaogopa kipigo kina kuja, hako kamessage kake anafikiria wa Iran watampindua Iran. Masikini anataka wa Iran wampindue Khomeni ndoto zingine noma sana.
Paka hana akili na mgambo wake washaanza kumgomea huko wanaogopa kufa
 
Mimi nakuambia uhalisia wewe bado unaamini kuwa kuna Shehe fulani aliruka na Farasi kuelekea Mbinguni.😂
Hata mimi nakwambia uhalisia kuamini ama kutokuamini linakua tatizo lako sio langu
 
Back
Top Bottom