Wanajeshi wa Israel wanazidi kuuliwa huko Gaza

Wanajeshi wa Israel wanazidi kuuliwa huko Gaza

Ndiyo maana wavaa kobazi hata elimu dunia hawaitaki eti mudi kawaambia elimu ahera ndiyo nzuri wakati wako dunian. Huwa napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Assad ni mvaa kobazi, maana yuko tofauti kabisa na the rest. Eti mtapewa mabikra 72 pindi mkifa 😂😂😂😂😂😂😂. Alafu mnaamin pamoja na mito ya pombe na maziwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kobazi mjitafakari kwa kweli maana chanzo cha matatizo dunian ni nyie
Mungekua hamubarikiwi Mungekua na akili za kuvukia walau barabara au za kuvalia viatu
 
Wewe kawaeleze wajinga hizo story za Nyerere, nakapa darasa Nyerere kaja Dar es Salaam. Mwaka 1954 Tanzania wamepata uhuru mwaka 1961, Wapalestina wameanza kuporwa ardhi zao kuanzia Mwaka 1948. Nyerere wako ana miaka 26,

Etti . mwanzilishi wa wapalestina
Yasser Arafat😀
Kwa hiyo Nyerere hakuwahi kabisa kuwatetea wapalestina?
 
Alishawahi !napingana na wewe ulichoandika eti ndiyo muanzilishi wa kuwatetea Wapestina.
Hata kama sio muanzilishi, kama amewatetea na kupinga uonezi wa wayahudi, anakuwa amejipambanua kama mpenda haki, kwa nini tusimsifie?
 
Hata kama sio muanzilishi, kama amewatetea na kupinga uonezi wa wayahudi, anakuwa amejipambanua kama mpenda haki, kwa nini tusimsifie?
Endelea kumsifia hamna aliyekukataza dunia nzima inawatetea Wapestina ukindoa Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya.
 
Endelea kumsifia hamna aliyekukataza dunia nzima inawatetea Wapestina ukindoa Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya.
Kwa nini wewe na baadhi ya watukufu waislamu hamtaki kumsifia kwa hilo?
 
BREAKING: Hezbollah yalenga wizara ya ulinzi ya Israel kwa mara ya pili leo.

"Wapiganaji wa Upinzani wa Kiislamu walilenga, kwa mara ya pili, msingi wa "HaKirya" (makao makuu ya Wizara ya Vita na Wafanyikazi Mkuu wa "israeli", Chumba cha Usimamizi wa Vita, na Mamlaka ya Udhibiti na Usimamizi wa Kijeshi wa Jeshi la Anga) Kilomita 120 kutoka mpaka wa Lebanon na Palestina, katika mji wa "Tel Aviv", na makombora ya balestiki ya Qader-2, na kugonga malengo yao kwa usahihi"
 
Back
Top Bottom