Wanajeshi wa Israel wanazidi kuuliwa huko Gaza

Wanajeshi wa Israel wanazidi kuuliwa huko Gaza

Ndiyo maana wavaa kobazi hata elimu dunia hawaitaki eti mudi kawaambia elimu ahera ndiyo nzuri wakati wako dunian. Huwa napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Assad ni mvaa kobazi, maana yuko tofauti kabisa na the rest. Eti mtapewa mabikra 72 pindi mkifa 😂😂😂😂😂😂😂. Alafu mnaamin pamoja na mito ya pombe na maziwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kobazi mjitafakari kwa kweli maana chanzo cha matatizo dunian ni nyie
Tumeambiwa tusome na kutafuta elimu ,/unasema vip ni elimu ya dini tuh wakati zote ni elimu ?
 
Tumeambiwa tusome na kutafuta elimu ,/unasema vip ni elimu ya dini tuh wakati zote ni elimu ?
Bila kuyumba yumba au kuleta kashfa kwa pande yoyote, wavaa kobazi na wakristo wapi wako vizuri kuhusu hii elimu ya kisayansi dhidi ya ile elimu dhahania(elimu ahera)?
 
Nimekujibu kwa mfano uliotokea Vietnam ukisema kule kulikuwa na washilika kwani Hamas yupo pekeyake
Sikiliza vizuri Silaha zinazpingia Gazza zinapitia kwenye tunnels na zingine wanatengeneza wenyewe kwa kutumia Construction pipes Vietnam silaha zilikuwa zinapitia Ho chi Minh (uchochoro mkubwa unaoingia hadi kwenye Nchi ya Laos) huo uchochoro umegubikwa na Misitu mizito Silaha zilikuwa zikiingia usiku na mchana.

Gaza kwasasa hakuingii hata Bolti moja usifananishe kabisa Gaza na Vietnam.
 
Sikiliza vizuri Silaha zinazpingia Gazza zinapitia kwenye tunnels na zingine wanatengeneza wenyewe kwa kutumia Construction pipes Vietnam silaha zilikuwa zinapitia Ho chi Minh (uchochoro mkubwa unaoingia hadi kwenye Nchi ya Laos) huo uchochoro umegubikwa na Misitu mizito Silaha zilikuwa zikiingia usiku na mchana.

Gaza kwasasa hakuingii hata Bolti moja usifananishe kabisa Gaza na Vietnam.
Shida kujenga hoja
Yenye ukweli!!! ikiwa kweli madai yako kuwa kwasasa apo Gaza ata Bolt azipiti hii inaitaji ushahidi japo wa mienendo ya Vita ingekuwa kweli madai yako tungeona Hamas sasa wanatumia visu mawe lkn vita ipo vilevile vifo vya wajeda wa Israel wanaendelea tena kwa kasi apo Gaza picha tunaona wanakilakitu adi yasin 105 wanazo je tuseme ndio walikuwa nazo tangu mwanzo je Hamas walijua kama hii vita ichakua zaid y mwaka. Mm naamini bado wanapata silaa watakuwa na njia yenye uhakika ndio mana vita inakuwa ngumu pande zote.
 
ingekuwa kweli madai yako tungeona Hamas sasa wanatumia visu mawe lkn vita ipo vilevile
Mgaidi wa Hamas walistockpile Silaha sana sana za Vita ya Mwaka na nusu au na zaidi lakini nikuambie ukweli hawatashinda hii Vita.

Warudishe Mateka waweke Silaha chini.
 
Mgaidi wa Hamas walistockpile Silaha sana sana za Vita ya Mwaka na nusu au na zaidi lakini nikuambie ukweli hawatashinda hii Vita.

Warudishe Mateka waweke Silaha chini.
Kaka ushindi wa mezani sio kwa mwarabu ukimpiga leo! jua akitulia anakuja na plan B na kusalimisha mateka sio kwa faida ya Hamas sababu kuu mbili moja Adi leo Israel aijawai kukubali kuwa wakipewa mateka wao vita itaisha ingekuwa ndio shida yao iyo tu sikunyingi kungepatikana suruisho lkn wao wanataka vita lengo kuu kuwaamisha wakazi wote waende Misri na wale West Bank wanataka wawaamishie Jordan. Kwaiyo mateka ni chambo tu wanajua tunajua. Je Hamas wafate akili yako wawatoe mateka itakuwa kosa kubwa!! Mana Israe kwasasa anapiga Gaza uku ukiofia raia wao sasa wawe akuna uko Gaza si watalima kila kichuguu wasawazishe. Hamas wanajua ilo kwasasa Jukum la vita liko kwa Hezbullah ukisikia kutema bungo sababu ni wale wajuba mana wanaiyunguza Israel kila kona. Wanazima moto
 
Bila kuyumba yumba au kuleta kashfa kwa pande yoyote, wavaa kobazi na wakristo wapi wako vizuri kuhusu hii elimu ya kisayansi dhidi ya ile elimu dhahania(elimu ahera)?
Ukisema hivyo wanaotakiwa kusifika ni wapagani ndio wako vizuri katika masuala ya sayansi na elimu ya secular.
Ukisema kuhusu waislam nitakuletea mchango wa waislam hususan wapersia katika maendeleo ya sayansi na teknolojia ambayo wakristo hawakuyavumbua.
 
Hamas sababu kuu mbili moja Adi leo Israel aijawai kukubali kuwa wakipewa mateka wao vita itaisha ingekuwa ndio shida yao iyo tu sikunyingi kungepatikana suruisho lkn wao wanataka vita lengo kuu kuwaamisha wakazi wote waende Misri na wale West Bank
Waarabu hawaaminiki, leo watasaini Amani kesho wanaunda Vikundi vya Kigaidi 2006 Israel iliondoka Gaza lakini hatimayake ndio hiyo Magaid ya Hamas yakaziba Ombwe.
 
Sikiliza vizuri Silaha zinazpingia Gazza zinapitia kwenye tunnels na zingine wanatengeneza wenyewe kwa kutumia Construction pipes Vietnam silaha zilikuwa zinapitia Ho chi Minh (uchochoro mkubwa unaoingia hadi kwenye Nchi ya Laos) huo uchochoro umegubikwa na Misitu mizito Silaha zilikuwa zikiingia usiku na mchana.

Gaza kwasasa hakuingii hata Bolti moja usifananishe kabisa Gaza na Vietnam.
Hakuingii silaha eenh sawa itajulikana tu mbona tutafika tuuu
 
Mgaidi wa Hamas walistockpile Silaha sana sana za Vita ya Mwaka na nusu au na zaidi lakini nikuambie ukweli hawatashinda hii Vita.

Warudishe Mateka waweke Silaha chini.
Wawarudishe mateka gani haacwhi gaidi hata mmoja idf wakawakomboe kama wanaweza
 
Back
Top Bottom