Wanajeshi wa Israel wanazidi kuuliwa huko Gaza

Wanajeshi wa Israel wanazidi kuuliwa huko Gaza

Hii yote ni kukaririshwa na kutokuruhusu akili ifunguke nje ya boksi.
Vurugu zote hizi zinazoendelea duniani utasikia USA kahusika.
Ila still watakwambia kobazi ndio chanzo.
Tuwaulize watujibu ,
*Venezuela ni kobazi?
*Cuba ni kobazi?
*Zimbabwe ni kobazi?
*DR Congo ni kobazi?
*Vietnam ilikua kobazi?
*Russia ni kobazi!?


Kote huko unamsikia USA amehusika.
Sasa unajiuliza gaidi ni nani haswaa!?
Wakristo na wagalatia na wanaojiita wapagani wasipo zinduka duniani wataenda zindukia makaburini mbaya zaidi watakuwa wameishachelewa ila ukweli ni kwamba adui wa uislam waislam ukristo na wakristo ni Marekani Uingereza na shosti zake kadhaa sababu hao wauaji linapokuja suala la maslahi yao wao wanakuua tu hata kama uwe msalaba wa mbao Venezuela 🇻🇪 Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo na Cuba 🇨🇺 ni mifano michache kati ya mengi
 
Nyau ana mbusu Ayatollah Khomen anasema nakuomba sana Mheshimiwa usinishambulie


View: https://youtube.com/shorts/TwySCv1Tyt8?si=n3kCTGIvyu_IDT0X

Tukirudi kwenye mada Israel hakuna sehemu kashinda sio Gaza sio Lebanon sio Yemen sio Iran.

Huko Russia anambembeleza Putin amzuie Assad asipeleke silaha kutoka Iran kwa njia ya Syria 😄



Hivi nyie watu hata IQ ndogo sana hamna, hiyo clip is AI generated, sio halisi, is fake, ila sbb hujui kitu, yaani akili yako haijui takataka ni zipi na safi ni ipi, wewe ni somba somba, hopeless, akili huna kabisa..
 
Wakristo na wagalatia na wanaojiita wapagani wasipo zinduka duniani wataenda zindukia makaburini mbaya zaidi watakuwa wameishachelewa ila ukweli ni kwamba adui wa uislam waislam ukristo na wakristo ni Marekani Uingereza na shosti zake kadhaa sababu hao wauaji linapokuja suala la maslahi yao wao wanakuua tu hata kama uwe msalaba wa mbao Venezuela 🇻🇪 Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo na Cuba 🇨🇺 ni mifano michache kati ya mengi
Hawana akili.
Kuna muda mimi nawatukana sio kwamba mimi ni mtusi hapana.
Mimi sio mtusi ila kuna muda nawatukana makusudi kwa ujinga wao kichwani.
 
Hawana akili.
Kuna muda mimi nawatukana sio kwamba mimi ni mtusi hapana.
Mimi sio mtusi ila kuna muda nawatukana makusudi kwa ujinga wao kichwani.
Hehehe hawana akili kweli nadhani kuwaambia hawana akili sio tusi bali kuwapa sifa yao
 
Mbona unapuyanga!?
Umesema unazungumzia Tanzania,mbona unaenda nchi za nje!??
Una uhakika wavaa kobazi masikini!?
*Saudi Arabia.
*Oman.
*Indonesia.
*Malaysia.
*Brunei Daarusalaam.
*Qatar.
*Kuwait.
*UAE/Dubai.
*Bahrain.
*Turkiye.
Hizi nchi za kimasikini!???
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wagunduzi wengi ni wapagani sio wakristo usitudanganye bro.

Unajua mchango wa sayansi wa Uturuki na waajemi duniani!??
Hiyo Algebra unayotamba nayo hivi unajua kama ni ya Kobazi!?
Vifaa vya upasuaji hususan vya uchanaji hivi unajua kama ni vya kobazi!?

Unapozungumzia ugaidi basi hakuna gaidi kama USA, tena wacha nikutajie ugaidi wao;
*USA imekua ikifanya majaribio ya biological na chemical weapons Marshall islands,na ikiwatumia wakaazi wa hivyo visiwa kama lab rats huku ikiwapa vijidola viduchu.Je huu ni ubinadamu!?
*USA anaongoza kuvamia nchi za watu na kuingilia sovereignty zao,nikitaja za waarabu utasema nawatetea waarabu nakutajia za wagalatia wenzenu,VIETNAM,CUBA,VENEZUELA,HAITI.Hayo mataifa yote USA yamemfanya nini!?
*USA anahusika na ufadhili wa blood minerals DR Congo na nchi baadhi za Afrika magharibi.
*USA inahusika na kufadhili MAKUNDI ya kigaidi tofauti,Taliban ilifadhiliwa na USA kuivunja USSR.
ISIS ilifadhiliwa na USA kumuangusha Bashar Al Assad.
Al Qaeda walifadhiliwa na USA kupigana na Houthi Yemen ili Mansour abaki.
Aya nani gaidi hapo!??
Pasi na kusahau uhalifu wa kivita aliofanya mataifa mbali mbali ikiwemo Iraq.
Kamsome Julian Assange mzungu pure alirekodi Kila WAR CRIMINALS alizofanya USA Iraq.

Shida yenu wagalatia wa Tanzania mnachukulia kila kitu udini pasi na kutizama ukweli na uhalisia.
Huyo USA mnayemkumbatia ndio anawalazimisha mkubali watoto wenu wasagane na wafirane wanaume kwa wanaume kwa kivuli cha misaada ya kimataifa.
Wanawaanzishia hadi mashirika ya kupenyeza hizo agenda.
Wanawaletea hadi mavyakula ya GMO ili kutimiza azma zao.

Bro why can't you wake up!??
Mbona udini unawapofusha kiasi hicho aiseeee!?
Mkuu videos za Asange kuhusu ukatili Wa USA Iraq nazipata wapi na mm nizione.
 
Mkuu videos za Asange kuhusu ukatili Wa USA Iraq nazipata wapi na mm nizione.
Daah nyingi walizipiga pin maana walimshutumu Assange Kwa security breach na espionage kama sijakosea.
Alikaa muda mrefu uhamishoni jamaa.
Kwasasa unaweza ukapata makala tu ila video ngumu.
Nipe muda nizitafute article zake nizilete hapa mkuu ili Kila kitu kiwekwe bayana.
 
Mbona unapuyanga!?
Umesema unazungumzia Tanzania,mbona unaenda nchi za nje!??
Una uhakika wavaa kobazi masikini!?
*Saudi Arabia.
*Oman.
*Indonesia.
*Malaysia.
*Brunei Daarusalaam.
*Qatar.
*Kuwait.
*UAE/Dubai.
*Bahrain.
*Turkiye.
Hizi nchi za kimasikini!???
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wagunduzi wengi ni wapagani sio wakristo usitudanganye bro.

Unajua mchango wa sayansi wa Uturuki na waajemi duniani!??
Hiyo Algebra unayotamba nayo hivi unajua kama ni ya Kobazi!?
Vifaa vya upasuaji hususan vya uchanaji hivi unajua kama ni vya kobazi!?

Unapozungumzia ugaidi basi hakuna gaidi kama USA, tena wacha nikutajie ugaidi wao;
*USA imekua ikifanya majaribio ya biological na chemical weapons Marshall islands,na ikiwatumia wakaazi wa hivyo visiwa kama lab rats huku ikiwapa vijidola viduchu.Je huu ni ubinadamu!?
*USA anaongoza kuvamia nchi za watu na kuingilia sovereignty zao,nikitaja za waarabu utasema nawatetea waarabu nakutajia za wagalatia wenzenu,VIETNAM,CUBA,VENEZUELA,HAITI.Hayo mataifa yote USA yamemfanya nini!?
*USA anahusika na ufadhili wa blood minerals DR Congo na nchi baadhi za Afrika magharibi.
*USA inahusika na kufadhili MAKUNDI ya kigaidi tofauti,Taliban ilifadhiliwa na USA kuivunja USSR.
ISIS ilifadhiliwa na USA kumuangusha Bashar Al Assad.
Al Qaeda walifadhiliwa na USA kupigana na Houthi Yemen ili Mansour abaki.
Aya nani gaidi hapo!??
Pasi na kusahau uhalifu wa kivita aliofanya mataifa mbali mbali ikiwemo Iraq.
Kamsome Julian Assange mzungu pure alirekodi Kila WAR CRIMINALS alizofanya USA Iraq.

Shida yenu wagalatia wa Tanzania mnachukulia kila kitu udini pasi na kutizama ukweli na uhalisia.
Huyo USA mnayemkumbatia ndio anawalazimisha mkubali watoto wenu wasagane na wafirane wanaume kwa wanaume kwa kivuli cha misaada ya kimataifa.
Wanawaanzishia hadi mashirika ya kupenyeza hizo agenda.
Wanawaletea hadi mavyakula ya GMO ili kutimiza azma zao.

Bro why can't you wake up!??
Mbona udini unawapofusha kiasi hicho aiseeee!?
Asante sana mkuu kwa kuchukua muda wako na kuandika haya, lakini mkuu je unakataa kuwa wavaa kobazi siyo tatizo duniani kuliko hao USA? Imagine dunia bila USA na wavaa kobazi ndiyo super power. Tuishie hapa mkuu
 
Wanaukumbi.

⚡️Habari za asubuhi, wote hawa wamuliwa huko Kaskazini mwa Gaza.

🔻Sajini Orr Katz, umri wa miaka 20.

🔻Sgt. Nave Yair Asulin, umri wa miaka 21.

🔻Sajini Gary Lalhruaikima Zolat, umri wa miaka 21.

🔻Sajini Ofir Eliyahu, umri wa miaka 20.


View: https://x.com/suppressednws/status/1856194763201929559?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Vijana wanauana wazee wamekaaa maofisini. Siku vijana wa duniani wakijua kuwa wanatumika na wazee, hakuna ataekubali kwenda vitani. Vita ni propaganda ya wazee kujivunia mapesa kwa kumwaga damu za vijana. Kwa nini kijana wa kiislael amuuue wa kipalestina wakati hawana ugomvi , wanarithishwa chuki na mazee yenye tamaa ya madaraka.
Ifike mahala. Vijana wa dunia wajue wanatumiwa na wao ndio wanakufa huku mazeee yanaendelea kupeta na vimwana mijini. Netanyahu na Shaha waende uwanja wa vita. Hawa viongozi wanajificha na kusakizia vijana wauane.
 
Asante sana mkuu kwa kuchukua muda wako na kuandika haya, lakini mkuu je unakataa kuwa wavaa kobazi siyo tatizo duniani kuliko hao USA? Imagine dunia bila USA na wavaa kobazi ndiyo super power. Tuishie hapa mkuu
Huwezi badili kile unachoamini kichwani,umeshajiwekea akilini wavaa kobazi waovu hilo ni gumu kubadilishwa.
Aya tuishie hapo.
 
Back
Top Bottom