Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 24
Nimepata habari kuwa kundi kubwa la wanajeshi wa Kenya walionekana wakiingia Tanzania kwa msururu wa magari kupitia mpaka wa Namanga.
Naomba mwenye taarifa yoyote ya lengo la wanajeshi hao kuingia TZ kwa msururu wa magari atujulishe.
Naomba mwenye taarifa yoyote ya lengo la wanajeshi hao kuingia TZ kwa msururu wa magari atujulishe.