Tetesi: Wanajeshi wa Tanzania na wenzao wa SADC Washikiliwa Mateka kama Mateka wa Vita na Wanamgambo wa M23 huko Goma

Tetesi: Wanajeshi wa Tanzania na wenzao wa SADC Washikiliwa Mateka kama Mateka wa Vita na Wanamgambo wa M23 huko Goma

Acheni propaganda za kijinga. Habari iliyopo leo ni Nangaa kunusurika kuawawa. Battle ya Goma ilitokea Januari 27 na 28 na hakuna askari hapo wa Tanzania. Unaweka taarifa ya dakaka 48 wakati habari ya karibu mwezi. Upuuzi.
Propaganda nilete mimi? Unaweza jifananisha na mimi kwa uzalendo juu ya nchi yangu wewe?

Hiyo habari nimeitoa X nq imepostiwa leo saa kumi na mbili jioni.
 
Kuna taarifa imetolewa jioni hii na Waandishi wa Habari Kupitia Mtandao wa X (Zamani Twitter) waliopo Goma ambayo inaeleza wametaarifwa na Wanamgambo wa M23 kuhusu kutekwa kwa Wanajeshi wa SADC kutoka Mataifa ya Afrika Kusini, Malawi na Tanzania waliopo Goma.u

Kwenye taarifa yao, waandishi hawa wameelezwa na Wanamgambo wa M23 kuwa Wanajeshi wetu wanashikiliwa mateka kwenye kambi zao ambapo wameweka bendera nyeupe kama ishara ya ku surrender.

Taarifa hiyo pia imewataja moja kwa moja wanajeshi wa Tanzania na kuelezea kuwa walishiriki kwenye vita dhidi ya M23 na kushindwa mapambano hivyo kuchukuliwa mateka.

Maombi yangu.
Kama taarifa hizi ni za kweli naomba Serikali yetu ianze kuchukua hatua kwa kuwawekea vikwazo Rwanda na kuchukua hatua nyingine za kijeshi dhidi ya Rwanda.

Nimeumia sana kama Mtanzania mzalendo!
View attachment 3252351View attachment 3252359
View attachment 3252361
Acha nicheke kwanza, yaani wanajeshi watekwe na wanamgambo!?🤣🤣🤣
 
Kwani Tanzania bado kuna jeshi kumbe.... Duuuuh tulishajua halipo...!!!

Mungu atusaidie tu na mama atusikie... Hii aibu tunaificha wapi sie jamani... vipumbavu tu vi M23 vinatikisa nchi kama Tanzania... aseeee


Nchi yoyote inayoendekeza uchawa, inadumaza weledi na ubunifu wa taasisi zote. Kipindi hiki tuombe sana tusivamiwe na nchi yoyote ile, tutapoteza kila kitu.

Hata taasisi zilizotakiwa kuzingatia weledi zimejiingiza kwenye siasa na uchawa, matokeo mengi ya kushindwa na ya aibu, tuyatarajie siku za usoni.
 
Hii aibu tumejitakia wenyewe, it's about time mfumo wa recruitment ubadilike. Hii kuingiza watu jeshini kwa vimemo, kuokota vijana kutoka UVCCM wasio na sifa na kuwageuza wajeda kuwa chawa ndiyo products hizo zinazodhihirisha udhaifu wa jeshi letu. Yaani hata TISS huwa wanazoa kutoka UVCCM not like the way it used to be back in the day ambapo vetting and scrutiny was thorough.
Tujitathmini.
Umeandika upumbavu. Wewe sio Mtanzania.
 
Kuna taarifa imetolewa jioni hii na Waandishi wa Habari Kupitia Mtandao wa X (Zamani Twitter) waliopo Goma ambayo inaeleza wametaarifwa na Wanamgambo wa M23 kuhusu kutekwa kwa Wanajeshi wa SADC kutoka Mataifa ya Afrika Kusini, Malawi na Tanzania waliopo Goma.u

Kwenye taarifa yao, waandishi hawa wameelezwa na Wanamgambo wa M23 kuwa Wanajeshi wetu wanashikiliwa mateka kwenye kambi zao ambapo wameweka bendera nyeupe kama ishara ya ku surrender.

Taarifa hiyo pia imewataja moja kwa moja wanajeshi wa Tanzania na kuelezea kuwa walishiriki kwenye vita dhidi ya M23 na kushindwa mapambano hivyo kuchukuliwa mateka.

Maombi yangu.
Kama taarifa hizi ni za kweli naomba Serikali yetu ianze kuchukua hatua kwa kuwawekea vikwazo Rwanda na kuchukua hatua nyingine za kijeshi dhidi ya Rwanda.

Nimeumia sana kama Mtanzania mzalendo!
View attachment 3252351View attachment 3252359
View attachment 3252361
Ongeeni Sasa na watekaji Ili waachiwe huru.
 
Hiv tukizuia tank zao za mafuta kwenda Rwanda wana options nyingine kweli waanze kupanga foleni kwenye petrol station zao akili itawakaa sawa South Africa najua awawezi washaharibu pia
Zaidi wanaweza kutumia njia ya Mombasa ambayo nayo tunaweza kui sabotage pia.

kwa hatua tuliyofikia sasa inabidi tutumie umafia na undava kweli.
 
Wana
Tuache uzushi na propaganda , mhariri mkuu wa gazeti asimulia alichokiona Goma na Bukavu

22 February 2025

MGOGORO WA DR Congo : Yaliyokutwa katika ghala la silaha za askari wa Tshisekedi na mipango yake ya kuvamia Rwanda


View: https://m.youtube.com/watch?v=STZBGC_UncE
Mhariri mtendaji James Munyaneza wa The New Times Rwanda atoa ushuhuda wa kina alipopata fursa kuwepo Goma na leo akiwa studio pamoja na mwandishi James Kahuranga kwa njia ya simu akiwa Rusizi kutupa habari za kina...

Inaonesha FARDC walikuwa wamejipanga kuivamia Rwanda kutokana na mpangilio wa zana zilivyopangwa (formation) kuelekea nchi ya Rwanda. Mhariri mtendaji James Munyaneza anasimulia kwa undani hali hiyo alivyokuwa amejipanga Tshisekedi ..

Mhariri mtendaji James Munyaneza alichokiona Goma ni uthibitisho unaoweza kuchukuliwa kuwa kulikuwa na mkakati mpana wa jeshi la Congo FARDC, Burundi kuivamia Rwanda kama tukio la bahati la M23 wasingejitokeza na kutibua mipango hiyo kwa ...

Mhariri mtendaji James Munyaneza aliweza kufika eneo la Airport ya Goma ambapo kilikuwa kitovu cha mapambano makali baina ya FARDC na M23 yaliyotokea wiki mbili zilizopita ....

Mhariri mtendaji James Munyaneza aliweza kufika kambi iliyokuwa na hadhi ya Joint Command Centre iliyokuwa inaratibu mipango ambapo kulikuwa na milingoti minne ya bendera kuwakilisha jeshi la Congo FARDC, jeshi la Burundi, jeshi la SADC SAMIDRC, jeshi la BURUNDI na FDLR - mgambo wa intarahamwe

Na kuwa ...Joint Command Centre hiyo ni kambi ongozi ya Operesheni za kijeshi kuna nyaraka na ramani zilizotokana ukusanyaji wa intelejesia ya kijeshi zinazobainisha maeneo mkakati nyeti ambayo FARDC na FDLR wangeyashambulia Rwanda... zilizoachwa baada ya kambi hizo kukimbiwa kufuatia kipigo kutoka kwa M23

Kilima Nyoka vilikuwepo vikosi special forces wa FARDC wakiwa wamejichimbia wanataza mpaka wa Rwanda na Kanyamahoro kulikuwepo kambi ya FDLR iliyo kilometa 3 tu kutoka mpaka na Rwanda..

Kambi zenye majina ya Satan 2 (shetani) Armageddon (Ziwa la Moto) majina hayo yakiashiria unyama unyama na silaha kali za maangamizi zilizo tayarishwa kuishambulia Rwanda ...

Kambi za mamluki waliosema ni 'wataalamu' kwa kumaanisha wangekuwa wanatoa ujuzi wa kutumia silaha hizo za maangamizi za 'shetani' na 'Ziwa la Moto' kuitia adabu Rwanda ..
View attachment 3252482


Kwa hiyo majeshi haya FARDC, kikosi cha ulinzi wa Rais, FLDR, mamluki wote hawa wangejiunga pamoja kuivamia Rwanda kwa kustukiza ... kama M23 wasingeanzisha mashambulizi February 2023..

Makontena yaliyosheheni silaha za mizinga ya masafa marefu ya kila aina , RPG , sniper rifles, kamikaze drones, camera ikionesha ingekuwa vita ya kisasa ...

Masimulizi hayo ya Mhariri mtendaji James Munyaneza yanakwenda na video mwendo ndani ya mahojiano haya ya ushuhuda wa kina..

Wataalamu kijeshi, utambuzi (intelejensia) ya kijeshi na intelejensia ya kiraia wanasema mkusanyiko huo wote wa mikakati, silaha, utaalamu, matayarisho mazito ya upande wa serikali ya Tshisekedi jirani na mpaka wa Rwanda. i

Inaonesha hayakuwa kujitayarisha kuishughulikia majeshi ya waasi wa M23 bali lengo lilikuwa kukamilisha tamko la Tshisekedi kuwa wataipiga Rwanda na kubadilisha uongozi wa kiserikali uliopo nchini Rwanda..


Vifaa vya Tshisekedi vilivyokutwa na M23
View attachment 3252480

Wanajeshi zaidi ya 5000 toka Rwanda waliingiaje Goma. Rwanda alipopigwa na Kagame kuuwawa, mtaniambia tutakachokipata baadae. Ameishajaribu Congo ameona ameweza, hataushia hapo. Burundi iko njiani na Tanzania kadhalika.
 
FAHAMU SIASA ZA KONGO NA HISTORIA YA MAJESHI YA NCHI JIRANI

Siasa za DR Congo zenye makandokando (complexity) ya kuvuta na kupiganisha majeshi ya nje ndani ya DR Congo huku suluhu ya kudumu ya amani na usalama kushindwa kupatikana kutokana na makundi mengi kushirikishwa.

Makundi hayo ikiwemo yale ya kidola (majeshi ya kigeni) na wadau wasio wakidola yaani (non State actors) vikundi vya mgambo zaidi ya mia (wazalendo) vya ndani ya DR Congo pia mashirika ya kimataifa kama UNHCR wanaotaka vita zisikome kupata ajira, mafungu ya fedha.

Hivyo mataifa jirani hayatakiwi kuendeshwa kwa mihemuko kwa kusikiliza propaganda kutoka kwa kila makundi hayo ya kidola na yasiyo ya kidola.

Tanzania inapaswa kuendelea na njia ya mazungumzo yaliyokubaliwa tarehe 8 February 2025 wakati maazimio ya wakuu wa SADC na EAC kubaini njia za kijeshi hazitofanikiwa kutatua mgogoro wa Congo baina ya wakongomani.

TOKA MAKTABA :
Jenerali James Kaberebe alivyotimuliwa kutoka kuwa kamanda wa majeshi ya Congo chini ya utawala wa Mzee Laurent Kabila na kurudishwa Rwanda ambapo aliteuliwa kuwa mkuu wa Majeshi ya Rwanda,

View: https://m.youtube.com/watch?v=ZJS6iCSk_NI

Marais wa Angola, rais Zimbabwe ya Robert Mugabe, rais Fidel Castro wa Cuba, Yasser Arafat kiongozi wa PLO ya Palestina walitia timu na kufika Kinshasa kumuunga mkono Laurent Kabila huku Rwanda na Uganda kumpinga Laurent Kabila aliyewafukuza James Kabarebe pamoja na majeshi ya Rwanda na Uganda yaliyokuwa Kinshasa. Pia nchi za Marekani, South Afrika chini ya rais Nelson Mandela , Umoja wa Mataifa na wadau wengine walijitwika jukumu la kumkingia kifua Laurent Kabila ..

Uganda na Rwanda zikaamua kumega mapande kinyemela ya Mashariki ya Congo na kujiwekea vikosi humo kwa madai ya kiusalama dhidi ya majeshi ya waasi ya FDLR ya Rwanda na lile la ADF waasi dhidi ya Uganda,...

Mgogoro huu ukapachikwa jina Vita Kuu ya Dunia ya Afrika kutokana na kuhusika kwa majeshi zaidi ya sita ya kiafrika, Cuba, Mamluki , majeshi ya Umoja wa mataifa, mgambo(wazalendo) ...

Tukiruka hadi sasa 2025 kipindi tulichonacho vita ya Mashariki ya Kongo majimbo ya Mashariki ya Kongo tayari yameangukia na kudhibitiwa na majeshi ya waasi huku Uganda na Rwanda wakilaumiwa kuwepo Bunia Ituri, Kivu ya Kaskazini Goma, Kivu ya Kusini Bukavu na waasi wakuipa kwenda hadi Kinshasa ...ni marudio ya Urithi wa Siasa za Kanda za Maziwa Makuu ...
 
Hii aibu tumejitakia wenyewe, it's about time mfumo wa recruitment ubadilike. Hii kuingiza watu jeshini kwa vimemo, kuokota vijana kutoka UVCCM wasio na sifa na kuwageuza wajeda kuwa chawa ndiyo products hizo zinazodhihirisha udhaifu wa jeshi letu. Yaani hata TISS huwa wanazoa kutoka UVCCM not like the way it used to be back in the day ambapo vetting and scrutiny was thorough.
Tujitathmini.
Acha uchoko wewe,umeshiba maziwa ya ng'ombe wenye mapembe marefu unakuja kujambajamba hapa,jichokonoe na hayo mapembe
 
Back
Top Bottom