gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Taarifa!!..huyo analeta taarifa au anadhihaki, mmejazana humu kuandika ujinga,kama man nyege za vita na tanzania si vusheni vifaru hapo rusumoTunategemea taarifa kinyume na uongo wa mtoa mada. Kumtukana sio jibu. Muungwa hunyamaza na akijibu majibu yake ni murua, sahihi na kweli. Usitukane mkuu.
Acha utoto kwenye mambo makubwa.....Hii aibu tumejitakia wenyewe, it's about time mfumo wa recruitment ubadilike. Hii kuingiza watu jeshini kwa vimemo, kuokota vijana kutoka UVCCM wasio na sifa na kuwageuza wajeda kuwa chawa ndiyo products hizo zinazodhihirisha udhaifu wa jeshi letu. Yaani hata TISS huwa wanazoa kutoka UVCCM not like the way it used to be back in the day ambapo vetting and scrutiny was thorough.
Tujitathmini.
Hujui ulisemalo.Jeshi letu halijaenda pale kupigana vita bali kulinda Amani.So waliwanyangany'a silaha wakiwa so innocent.Hii aibu tumejitakia wenyewe, it's about time mfumo wa recruitment ubadilike. Hii kuingiza watu jeshini kwa vimemo, kuokota vijana kutoka UVCCM wasio na sifa na kuwageuza wajeda kuwa chawa ndiyo products hizo zinazodhihirisha udhaifu wa jeshi letu. Yaani hata TISS huwa wanazoa kutoka UVCCM not like the way it used to be back in the day ambapo vetting and scrutiny was thorough.
Tujitathmini.
Mkuu vita ni gharama! Hiyo fedha ya kupeleka majeshi yetu kupigana kama sisi tutaipata wapi?TANZANIA sasa kama nchi. ni wakati wa kwenda kuisaidia congo na sio kutegemea UN MONUSCO na SADIC.
hawa wazungu wanaweza kuhujumu tu ili biashara zao ziende.
Hawa MAKADA WA CCM wameshindwa kujitetea kabisa?Hii issue ni serious sana. Nilitegemea hivi sasa hatua dhidi ya Rwanda zingekuwa zimeshaanza kuchukuliwa maana uahahidi upo wazi kuwa wanajeshi wa Rwanda zaidi ya 4000 walivuka mpaka kuingia Goma na kuiteka. So it's obvious Wanajeshi wetu waliouliwa waliuliwa na Wanajeshi wa Rwanda na Hawa waliotekwa wametekwa na Jeshi la Rwanda kwa mgongo huu wa M23.
Jibu hoja acha vitisho, hizi sio zama za giza tena.Ukiingia kwenye 18 zao,wakati wanakubinya pumbu uwaambie ulikozitoa hizi taarifa,utaona wanaharakati uchwara free free
UVCCM mmejazana jeshini, haya ndio madhara yake.Ukiingia kwenye 18 zao,wakati wanakubinya pumbu uwaambie ulikozitoa hizi taarifa,utaona wanaharakati uchwara free free
Jeshi limesheheni MAKADA WA CCM, ni lazima lilete aibu tu.Taarifa!!..huyo analeta taarifa au anadhihaki, mmejazana humu kuandika ujinga,kama man nyege za vita na tanzania si vusheni vifaru hapo rusumo
M23 hawawezi kuthubutu kuwashikilia mateka askari wa SADC.Nchi yoyote inayoendekeza uchawa, inadumaza weledi na ubunifu wa taasisi zote. Kipindi hiki tuombe sana tusivamiwe na nchi yoyote ile, tutapoteza kila kitu.
Hata taasisi zilizotakiwa kuzingatia weledi zimejiingiza kwenye siasa na uchawa, matokeo mengi ya kushindwa na ya aibu, tuyatarajie siku za usoni.
Unapojumuisha watu unakosea. Wewe huna uchungu kutuzidi. Wanajeshi wetu, wanatuuma. Kama amepotosha anakosolewa kwa taarifa yako nyingine sahihi. Kumtukana tu sio taarifa unayotusaidia. Nazeekea Tanganyika navushaje kifaru nijipige mwenyewe ? Humu JF soma vizuri uwajue Watanganyika halisi na wahamiaji wanafurahia anguko letu.Taarifa!!..huyo analeta taarifa au anadhihaki, mmejazana humu kuandika ujinga,kama man nyege za vita na tanzania si vusheni vifaru hapo rusumo
Uko sahihi. Wanyarwanda wanatengeneza propaganda za uongo kuhalalisha uvamizi wao nchi nyingine. Askari maelefu wamevuka mipaka na silaha nzito kuivamia Congo. Ni makosa, ushetani, muuaji na uroho wa madini na mali za Congo.Jamaa bwege sana huyo yaani kabisa anatuletea habari ambayo imehaririwa na Mnyarwanda anataka ndio tuiamini? Eti Tshekeds alikuwa anajiandaa kuivamia Rwanda serious? Hata mtoto mdogo anayefuatilia hii battle hawezi kukubqliqnq nq huo uongo.
kama unaogopa ghalama vipi kuhusu usalama wako.na wa nchi yako?Mkuu vita ni gharama! Hiyo fedha ya kupeleka majeshi yetu kupigana kama sisi tutaipata wapi?
Jeshini hakuna siasa.Kuna uongo wowote kwenye comment yake..?
Ndo mana sasa umeona wanakuwa condemned na UN, US, UK na Mataifa mengine ya Ulaya.Uko sahihi. Wanyarwanda wanatengeneza propaganda za uongo kuhalalisha uvamizi wao nchi nyingine. Askari maelefu wamevuka mipaka na silaha nzito kuivamia Congo. Ni makosa, ushetani, muuaji na uroho wa madini na mali za Congo.
Burundi haiwezi kusumbuliwa na Rwanda. Pengine ni moja ya nchi inayoogopwa sana na Rwanda. Burundi na Rwanda ni nchi zenye wahutu wengi. 85% ya wananchi wa nchi zote hizo ni wahutu na watutsi ni 14%. Mgogoro wowote ule wa kikabila utakaojitokeza kwenye nchi za Burundi na Rwanda utakuwa na athari mbaya kwa watutsi kwani wako wachache sana.Wana
Wanajeshi zaidi ya 5000 toka Rwanda waliingiaje Goma. Rwanda alipopigwa na Kagame kuuwawa, mtaniambia tutakachokipata baadae. Ameishajaribu Congo ameona ameweza, hataushia hapo. Burundi iko njiani na Tanzania kadhalika.
Labda ni umaskini wetu kuogopa kukosa pesa zao. Vinginevyo tungewapiga sanctions. Wasipitishe bidhaa vyao kwetu.Ndo mana sasa umeona wanakuwa condemned na UN, US, UK na Mataifa mengine ya Ulaya.
Ushahidi umeonesha kabisa Wanajeshi wa Rwanda wakivuka mpaka kwenda kupigana Goma na Kivu Kusini. Na hata silaha zilivushwa.
Sie kutowacondemn na kuwachukuliq hatua Rwanda ni udhaifu mkubwa sana tuliouonesha.
Tujitafakari na kuchukua hatua.
Uko sahihi. Gharama tunayoiogopa sasa tunaweza kuipata mara mia endapo tutavamiwa. Uzalishaji unasimama, miundombinu inaharibiwa, vifo vinatokea, madeni ya silaha yanaongezeka.kama unaogopa ghalama vipi kuhusu usalama wako.na wa nchi yako?
huyu adui anaeichokoza kongo kwasasa akifanikiwa atakuchokoza na wewe kwenye nchi yako.