Tetesi: Wanajeshi wa Tanzania na wenzao wa SADC Washikiliwa Mateka kama Mateka wa Vita na Wanamgambo wa M23 huko Goma

Hyo ndo kazi ya jeshi hakuna lelemama,wapelekwe wengine tena wakapambane

Unawekaje bendera nyeupe,hicho ndo tulichowafundisha
Taarifa zinadai Jeshi la Rwanda safari hii walijiandaa sana na hii operesheni. Walikuwa na Intel za kutosha kuhusu namna ya kuiteka Goma na mpango wa kufanya humiliation ya vikosi vyote vilivyopo Goma.

Kuweka Bendera nyeupe inaweza kuwa mbinu sahihi maana it seems kweli walizidiwa. Kikubwa sasa ni sisi ku retaliate kwa kuchukua hatua stahiki.

Mataifa ya Ulaya na Marekani wamechukua hatua wakati hawajaathiriwa vyovyote sasa kwa nini sisi tusichukue hatua wakati wanajeshi wetu wametekwa na kuuwawa?
 
Rwanda haipqswi kuwekewq vikwazo. Usiingize ushabiki .

Tanzania inaoaswa iondoe vikosi vyake huko DRC hakuna justification ya kuwepo huko. Vita vya wenyewe kwa wenyewe havituhusu. Kuwazmajirani sio sababu.
 
Kilichoniuma ni heshima aliyopewa Kagame alipokuja pale Airport wakati vijana wetu wameshikiliwa mateka na vikosi vyake.

Sijui tumekuwaje Tanzania.
Mmezingatia fedha sana kuna mzigo ulitoka bandarini wazee wa kazi waliuzuia mpaka yule nyau alikuja kulia lia mzigo ukaachiw maafa yake kawageuka haya mpeni na bandari apitishe mizigo yake bure awaachie hao vijana kama kweli aibu tupu hii
 
Rwanda haipqswi kuwekewq vikwazo. Usiingize ushabiki .

Tanzania inaoaswa iondoe vikosi vyake huko DRC hakuna justification ya kuwepo huko. Vita vya wenyewe kwa wenyewe havituhusu. Kuwazmajirani sio sababu.
uko wapi ushabiki wakati tunataka kikosi cha Tanzania kilicho chini ya MONUSCO/SADC kitoke huko?
 
Wewe unawaonea huruma kama nani, hujui hao wanajeshi wakienda kwenye hizo mission wanarudi na pesa za kutosha na kuwa na maendeleo!
 
hawa watu ilikuwa tuwape kichapo..tatizo amiri jeshi mkuu wetu yupo soft mno sio mtu wa kufanya maamuzi magumu na pia hataki lawama na anayependa sana kubembeleza kuliko actions..
 
Ukiwawekea Rwanda vikwazo unajiumiza mwenyewe,nchi yetu ni masikini, tunaiitaji rwanda tuweze kujikwamua kiuchumi, wenye uwezo wa kuweka vikwazo ni nchi zilizoendelea za ulaya huko
 
Hiv tukizuia tank zao za mafuta kwenda Rwanda wana options nyingine kweli waanze kupanga foleni kwenye petrol station zao akili itawakaa sawa South Africa najua awawezi washaharibu pia
Wataenda bandari ya Mombasa. Au Beira Msumbiji, kumbuka Kagame ana uhusiano mzuri na Msumbiji, ana askari wake huko wanaoisaidia msumbiji kupambana na magaidi jimbo la cabo delgado
 
Ukiwawekea Rwanda vikwazo unajiumiza mwenyewe,nchi yetu ni masikini, tunaiitaji rwanda tuweze kujikwamua kiuchumi, wenye uwezo wa kuweka vikwazo ni nchi zilizoendelea za ulaya huko
Kwa hiyo Rwanda aendelee kuua na kuteka askari wetu kwa sababu tu tulimwekea vikwazo tunaumia? Huko CCM mnajaza funza kwenye vichwa vyenu nini?
 
Rwanda haipqswi kuwekewq vikwazo. Usiingize ushabiki .

Tanzania inaoaswa iondoe vikosi vyake huko DRC hakuna justification ya kuwepo huko. Vita vya wenyewe kwa wenyewe havituhusu. Kuwazmajirani sio sababu.
Tunajua mmeteka wanajeshi wetu ili kuweka hayo masharti na mfanikishe azma yenu ya kutawala Congo Mashariki na kuchukua madini yake.
 
Rwanda haipqswi kuwekewq vikwazo. Usiingize ushabiki .

Tanzania inaoaswa iondoe vikosi vyake huko DRC hakuna justification ya kuwepo huko. Vita vya wenyewe kwa wenyewe havituhusu. Kuwazmajirani sio sababu.
Wewe kama sio mnyarwanda mtutsi basi hufahamu geopolitics. Vita vya Congo vinaathiri nchi zote zinazopakana nazo kwa namna tofauti. Suala la majeshi kuwepo Congo hilo liko nje ufahamu wako huo mdogo.
 
hawa watu ilikuwa tuwape kichapo..tatizo amiri jeshi mkuu wetu yupo soft mno sio mtu wa kufanya maamuzi magumu na pia hataki lawama na anayependa sana kubembeleza kuliko actions..
Sasa hamjui cha kufanya? Hamjui wenzenu walifanyaje mwaka 1964 hadi ikaundwa TPDF/JWTZ?
 
Wataenda bandari ya Mombasa. Au Beira Msumbiji, kumbuka Kagame ana uhusiano mzuri na Msumbiji, ana askari wake huko wanaoisaidia msumbiji kupambana na magaidi jimbo la cabo delgado
Ni gharama kubwa sana kusafirisha mzigo kutoka Mombasa hadi Rwanda kupitia Uganda

Pia it's almost impossible kusafirisha mzigo kutoka Msumbiji hadi Rwanda bila kupitia Tanzania maana hakuna hiyo miundombinu.
 
Wewe kama sio mnyarwanda mtutsi basi hufahamu geopolitics. Vita vya Congo vinaathiri nchi zote zinazopakana nazo kwa namna tofauti. Suala la majeshi kuwepo Congo hilo liko nje ufahamu wako huo mdogo.
Ni wajinga tu wanaoweza kusema Vita vya Congo havituhusu. Kikubwa ni sie kuvitafsiri kiuchumi zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…