Wanajeshi wa Tanzania takribani 2000 walifyekwa na majeshi ya Idd Amin; huo ndio ulikuwa mwanzo wa vita ya Kagera

Wanajeshi wa Tanzania takribani 2000 walifyekwa na majeshi ya Idd Amin; huo ndio ulikuwa mwanzo wa vita ya Kagera

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Habari kwenu jukwaani.

Kuna simuluzi BBC Radio wanatujuza historia iliyofichwa. Mwanzoni mwa vita vya Kagera ni kuwa baada ya Amini kufanya uvamizi wake, Tanzania ilitanguliza kikosi cha wanajeshi 2000 mstari wa mbele na chote kilifyekwa na majeshi ya Amin.

Baada ya hapo jeshi letu lilijipanga upya na kusonga mbele hadi Kampala na Jinja ambapo Idd Amin alitimkia Libya na baadae Saudi Arabia.

Hii historia sijiwahi kuisikia, nilijua tulipigana bila upinzani mkali na hatukupoteza askari wengi kiasi hiki kwa mpigo mmoja.

Msimuliaji pia anadai jeshi la Uganda lilikuwa limegawanyika sana kwani baadhi hawakumtaka Amin aendelee kuongoza Uganda na hivyo kulisaidia jeshi letu lililojipanga upya kushinda vita hivyo.

Viva JWTZ.
 
Habari kwenu jukwaani.

Kuna simuluzi BBC Radio wanatujuza historia iliyofichwa. Mwanzoni mwa vita vya kagera ni kuwa baada ya Amini kufanya uvamizi wake, Tanzania ilitanguliza kikosi cha wanajeshi 2000 mstari wa mbele na chote kilifyekwa na majeshi ya Amini.

Baada ya hapo jeshi letu lilijipanga upya na kusonga mbele hadi Kampala na jinja ambapo Idd Amini alitimkia Libya na baadae saudi Arabia.

Hii historia sjiwahi kuisikia, nilijua tulipigana bila upinzani mkali na hatukupoteza askari wengi kiasi hiki kwa mpigo mmoja.
Msimuliaji pia anadai jeshi la Uganda lilikuwa limegawanyika sana kwani baadhi hawakumtaka Amini aendelee kuongoza Uganda na hivyo kulisaidia jeshi letu lililojipanga upya kushinda vita hivyo.

Viva JWTZ.
Mambo ya jeshi waachieni wanajeshi,,,, simulizi ndio nini hasa,,,,,, yaani wanajeshi 2000 ni zaidi ya battalion mbili,,,, unajua chochote wewe?
 
sidhani kama ni kweli babu Mjomba kaka zangu wawili wote walikuwa vitani Mimi nilitoroka nyumbani na wote walirudi na sikuwahi kusikia
 
[QUOTE=" Vita haikuwa rahisi kama za akina Rambo na Komando John[/QUOTE]
Mkuu umenikuna sana kwa hiyo mifano yako
 
Habari kwenu jukwaani.

Kuna simuluzi BBC Radio wanatujuza historia iliyofichwa. Mwanzoni mwa vita vya kagera ni kuwa baada ya Amini kufanya uvamizi wake, Tanzania ilitanguliza kikosi cha wanajeshi 2000 mstari wa mbele na chote kilifyekwa na majeshi ya Amini.

Baada ya hapo jeshi letu lilijipanga upya na kusonga mbele hadi Kampala na jinja ambapo Idd Amini alitimkia Libya na baadae saudi Arabia.

Hii historia sjiwahi kuisikia, nilijua tulipigana bila upinzani mkali na hatukupoteza askari wengi kiasi hiki kwa mpigo mmoja.
Msimuliaji pia anadai jeshi la Uganda lilikuwa limegawanyika sana kwani baadhi hawakumtaka Amini aendelee kuongoza Uganda na hivyo kulisaidia jeshi letu lililojipanga upya kushinda vita hivyo.

Viva JWTZ.
Acha uongo wewe. Uwe na aibu kuongea pumba za kiwango hiki. Utakuwa mnyarwanda wewe.
Mwingereza David Martin alishandika kitabu. War in Uganda. Hakuna uongo huo.
 
Ukitaka kuamini hili pita vijiji 10 random vya hapa Tanzania waulize wababa kuhusu vita hii watakuambia kijijini kwao waliondoka vijana wangapi na walirudi wangapi.
Then piga hesabu za makadiria kulingana na idadi ya vijiji kwa miaka hiyo ya 1977-79.
 
Habari kwenu jukwaani.

Kuna simuluzi BBC Radio wanatujuza historia iliyofichwa. Mwanzoni mwa vita vya kagera ni kuwa baada ya Amini kufanya uvamizi wake, Tanzania ilitanguliza kikosi cha wanajeshi 2000 mstari wa mbele na chote kilifyekwa na majeshi ya Amini.

Baada ya hapo jeshi letu lilijipanga upya na kusonga mbele hadi Kampala na jinja ambapo Idd Amini alitimkia Libya na baadae saudi Arabia.

Hii historia sjiwahi kuisikia, nilijua tulipigana bila upinzani mkali na hatukupoteza askari wengi kiasi hiki kwa mpigo mmoja.
Msimuliaji pia anadai jeshi la Uganda lilikuwa limegawanyika sana kwani baadhi hawakumtaka Amini aendelee kuongoza Uganda na hivyo kulisaidia jeshi letu lililojipanga upya kushinda vita hivyo.

Viva JWTZ.
Umefichwa na nani? au wewe ni Mento? inamaana ulifichwa na baba yako au nani haswa maana vita ya Uganga hadi sinema halisi zilihusika.. Waliofyekwa walikuwa ni Jeshi la Mgambo na hii ipo wazi kabisa ukisoma habari za vita ya uganda sasa unaleta takwimu zako za kipumbavu pumbavu ati ulifichwa au hujawahi sikia hata sikukuu ya Mashujaa waliopoteza uhai wao katika Vita hiyo ya Kagera? Kwa Taarifa yako waliuwawa na Wanajeshi wa Palestina waliokuja kumtetea Amin Ndio maana Siwapendi Wapalestina natamani wafutwe kabisa Duniani. Wana bahat sana Nyerere aliwasamehe
 
Back
Top Bottom