Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma au fuatilia vizuri historia ya luteni enzi hizo japo alistaafu akiwa na cheo cha meja bila Shaka aliitwa John Walden afu pia hilo tukio Amin alilitegemea na njia yao ya kupita aliijua lakini ukumbuke kwamba waliotangulizwa walikuwa ni wale wazalendo wa nchi yao waliojitolea tu na wakapata mafunzo ya muda mfupi Sana tuseme walikuwa migamboUnaua vipi askari 2000 kwa mda mfupi?
Mahusiano ya wazazi wangu walikutania huko,,,yaan huwa nafarijika mno mnoHabari kwenu jukwaani.
Kuna simuluzi BBC Radio wanatujuza historia iliyofichwa. Mwanzoni mwa vita vya kagera ni kuwa baada ya Amini kufanya uvamizi wake, Tanzania ilitanguliza kikosi cha wanajeshi 2000 mstari wa mbele na chote kilifyekwa na majeshi ya Amini.
Baada ya hapo jeshi letu lilijipanga upya na kusonga mbele hadi Kampala na jinja ambapo Idd Amini alitimkia Libya na baadae saudi Arabia.
Hii historia sjiwahi kuisikia, nilijua tulipigana bila upinzani mkali na hatukupoteza askari wengi kiasi hiki kwa mpigo mmoja.
Msimuliaji pia anadai jeshi la Uganda lilikuwa limegawanyika sana kwani baadhi hawakumtaka Amini aendelee kuongoza Uganda na hivyo kulisaidia jeshi letu lililojipanga upya kushinda vita hivyo.
Viva JWTZ.
Haha hata Mimi nahisi mkuuAISEEE KUMBE KUNA MENGI WANAFICHA KUHUSU VITA HII???!!!INAWEZEKANA HATA USHINDI HAUKUWA WA KISHINDO KAMA TUNAVYOAMINISHWA
Aisee si wengi watakuelewaMuda siyo mrefu watasema hata hiyo vita ilikuwa ya kutengenezwa sababu tanzania ilikuwa inajifanya kiburi sana, hapo tu nipowapendea CIA. hawajui kukaa na siri.
wewe ni bogus! Kama kuna kilichofichwa kuhusiana na vita ya Kagera, BBC walipata wapi hizo taarifa? uwe unatafuta literatures na kujisomea badala ya kusubiri simulizi za BBC, ebo!AISEEE KUMBE KUNA MENGI WANAFICHA KUHUSU VITA HII???!!!INAWEZEKANA HATA USHINDI HAUKUWA WA KISHINDO KAMA TUNAVYOAMINISHWA
Habari kwenu jukwaani.
Kuna simuluzi BBC Radio wanatujuza historia iliyofichwa. Mwanzoni mwa vita vya kagera ni kuwa baada ya Amini kufanya uvamizi wake, Tanzania ilitanguliza kikosi cha wanajeshi 2000 mstari wa mbele na chote kilifyekwa na majeshi ya Amini.
Baada ya hapo jeshi letu lilijipanga upya na kusonga mbele hadi Kampala na jinja ambapo Idd Amini alitimkia Libya na baadae saudi Arabia.
Hii historia sjiwahi kuisikia, nilijua tulipigana bila upinzani mkali na hatukupoteza askari wengi kiasi hiki kwa mpigo mmoja.
Msimuliaji pia anadai jeshi la Uganda lilikuwa limegawanyika sana kwani baadhi hawakumtaka Amini aendelee kuongoza Uganda na hivyo kulisaidia jeshi letu lililojipanga upya kushinda vita hivyo.
Viva JWTZ.
Tulijipanga kwa vita? Kama ndiyo basi hiyo vita haikuwa nyepesi kwetu. Ndiyo maana Marekan anajiandaa kwa lolote hivyo usimkejeli huyo mzee huenda kuna chembe za ukweliHuyo babu ni mzushi eti bila Tanzania kusaidiwa wasingemuweza Idd Amin. Huyu jamaa lazima atakuwa lofa tu.
Kosa tulilofanya ni kuwatanguliza FFU na migambo mbele, ilikuwa bado haija aminika kuwa jeshi la amin limevuka mpaka,
Umeeleza vema, naona wengi wanaropoka kutetea bila hoja, au kupinga bila hoja.... ndo maana watanzania ni wepesi kufall ktk propagandaWengi humu yaelekea hawakuwepo wakati huo.
Amin alijiandaa kwa vita ile mapema. Tanzania haikuwa na maandalizi. Jeshi la Amin lilikuwa na vifaa vya kisasa zaidi kuliko jeshi letu.
Kwa taarifa za ndani ni kuwa askari wa mwanzo kwenda mstari wa mbele walikuwa ni mgambo na JKT. Na baadaye walifuata askari wa kutoka kikosi cha Zanzibar. Vikosi hivi vya mwanzo au viliteketea kabisa au walibakia manusura wachache.
Amin alikuwa akisaidiwa na makaburu na Gadafi wa Libya. Tanzania tulipata msaada mkubwa toka kwa Fidel Castro wa Cuba.
Tanzania ilishinda vita vile kutokana na moyo wa kujitoa, weledi, umoja na uzalendo lakini siyo kwa ubora wa vifaa.
Ile ilikuwa ni vita, siyo sherehe. Tulivamiwa. Aliyevamia alijiandaa. Mshindani wako ambaye mmekaribiana kwa kila hali, siyo rahisi umshinde wakati wote na kila mahali. Waulize waliopigana vita vile ndiyo watakueleza ugumu ulivyokuwa. Unafuu ulikuja mwishoni, wakati Jeshi la Uganda likiwa limegawanyika na kukosa uongozi wa pamoja.
kwa kua bbc imesema wewe unakubali tu kama zuzu.Habari kwenu jukwaani.
Kuna simuluzi BBC Radio wanatujuza historia iliyofichwa. Mwanzoni mwa vita vya Kagera ni kuwa baada ya Amini kufanya uvamizi wake, Tanzania ilitanguliza kikosi cha wanajeshi 2000 mstari wa mbele na chote kilifyekwa na majeshi ya Amin.
Baada ya hapo jeshi letu lilijipanga upya na kusonga mbele hadi Kampala na Jinja ambapo Idd Amin alitimkia Libya na baadae Saudi Arabia.
Hii historia sijiwahi kuisikia, nilijua tulipigana bila upinzani mkali na hatukupoteza askari wengi kiasi hiki kwa mpigo mmoja.
Msimuliaji pia anadai jeshi la Uganda lilikuwa limegawanyika sana kwani baadhi hawakumtaka Amin aendelee kuongoza Uganda na hivyo kulisaidia jeshi letu lililojipanga upya kushinda vita hivyo.
Viva JWTZ.
Ni kweli vita ya Uganda ilipoteza Asikari wengi sana wa Tanzania na kilichookoa Habari isijulikane sana ni ushindi walioupata ingawa ushindi wenyewe ulitokana na kuwakuta waasi porini yaani Akina Mseveni na Tito Okelo ambao walisaidia kuwaonyesha njia za kupitia na kuwadhibiti Jeshi la idd Amin, na kama si waasi hao kwa kweli idd Amin angewasaga sana maana alikuwa na Jeshi kali na vifaa vizuri toka libya.sidhani kama ni kweli babu Mjomba kaka zangu wawili wote walikuwa vitani Mimi nilitoroka nyumbani na wote walirudi na sikuwahi kusikia