Wanajeshi wa Urusi waanza kimbia Kherson

Pearce

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2018
Posts
667
Reaction score
1,582
Russia rasmi na utawala wa vibaraka wao waamua kuondoka mapema Kherson mara baada ya kukosa usambazaji wa Siraha baada ya vituo vya karibu vya kuhifadhi kulipuliwa.

Huku kikosi cha Anga ambacho kingeweza toa sapoti kipindi cha kuzuia uvamizi kuungua kwa moto wa Sigara ulioteketeza ndege zaidi ya 10 mithili zilipigwa na HIMARS.

Pia sasa Warusi wamechapisha uniform za kanzu za kijeshi zikiwa na barakashia kuwavuta majihadist kutoka pande zote duniani.

Warusi wa Tandika na wale wa Buza mshatengenezewa hadi kanzu kazi kwenu.
 
Nonsense huu ni mwezi wa 2 mnasema urusi wanaondoka kwenye huo mji
 
No one but us.we are Russian military.
Kaulimbiu .
Hiyo ndo wanapita wanaume kwa sasa

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe wameondoka hawakuondoshwa.
 
Sasa kwa nini msiende kuchukua kherson kama wamekimbia maana si ipo tupu au mnasubiri nini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…