Wanajeshi wa Urusi waanza kimbia Kherson

Wanajeshi wa Urusi waanza kimbia Kherson

Itakuwa Kherson ya buza kwa mparange [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Russia rasmi na utawala wa vibaraka wao waamua kuondoka mapema Kherson mara baada ya kukosa usambazaji wa Siraha baada ya vituo vya karibu vya kuhifadhi kulipuliwa.

Huku kikosi cha Anga ambacho kingeweza toa sapoti kipindi cha kuzuia uvamizi kuungua kwa moto wa Sigara ulioteketeza ndege zaidi ya 10 mithili zilipigwa na HIMARS.

Pia sasa Warusi wamechapisha uniform za kanzu za kijeshi zikiwa na barakashia kuwavuta majihadist kutoka pande zote duniani.

Warusi wa Tandika na wale wa Buza mshatengenezewa hadi kanzu kazi kwenu.
 
Kherson region received license plates with the code 184.

Meet the old new region of Russia
-5467569629703553616_109.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungeleta na source mkuu

Itoke wapi zaidi ya habari za kuokoteza vijiweni - changuza hata style ya uletaji habari, zimesheeni mambo ya kitoto toto tu, like school children on Boy scouts Jamboree - they're not serious at all.
 
Russia alidhani anapigana na Ukraine pekee
Inajua vizuri kwamba inapigana indirectly na zaidi ya mataifa 26, na bado anawapelekesha kashi kashi - muda si mrefu wao na kiranja wao mkuu watakata tamaa na kusitisha kumsaidia a highly unpredictable Zelensky siku hiyo inakuja.
 
Huu ni mwezi wa sita mlisema mtaichukua Kiev ndani ya siku Tatu.

Lini Putin au jeshi lake liliwahi kutamka in public kwamba litaichukua Kiev ndani ya siku tatu - lini??

Mambo mengi yanayo semwa humu pamoja na media za magharibi ni adithi za kubuni tu - hawataki kusema ukweli kwamba katika operation inayo endelea lengo kuu la Putin lilikuwa and still is:kuwakomboa WA Ukraine wenye asili ya Urusi huko magharibi mwa Ukraine,kuwanyanganya silaha ma neo-NAZI (Azov) yote hayo Putin amefanikiwa kwa asili mia kubwa - kilicho baki ni kupitisha referendum kwa wale wanaopendelea kubaki chini ya utawala wa Zelensky au kujiunga na mother Russia, chaguo ni lao - majority walisha choka kwa kuwa chini ya Utawala wa Kiev ambao umekwisha angamiza zaidi ya raia hao 14,000, cha ajabu hakuna chombo cha habari cha magharibi hata kimoja kimewahi kulizungumzia hilo, wako kimya kabisa - kazi kumsema sema vibaya Putin na kumzulia tuhuma ambazo hazina kichwa wala miguu.

Waseme wapendalo lakini ukweli utaendelea kubaki pale pale, namely: Putin atawashinda ma mafia hawa na wafadhili wao wakuu kuabika mchana kweupe, the World banks on Putin noble efforts to contain western inept hegemony na huu ndio mwanzo makubwa yanakuja.
 
Lini Putin au jeshi lake liliwahi kutamka in public kwamba litaichukua Kiev ndani ya siku - lini??

Mambo mengi yanayo semwa humu pamoja na media za magharibi ni adithi za kubuni tu - hawataki kusema ukweli kwamba katika operation into endelea lengo kuu la Putin lilikuwa and still is:kuwakomboa WA Ukraine wenye asili ya Urusi huko magharibi mwa Ukraine,kuwanyanganya silaha ma neo-NAZI (Azov) yote hayo amefanikiwa kwa asili mia kubwa - kilicho baki ni kupitisha referendum kwa wale wanaopendelea kubaki chini ya utawala wa Zelensky au kujiunga na mother Russia chaguo ni lao - majority walisha choka kwa kuwa chini ya Utawala wa Kiev ambao umekwisha angamiza zaidi ya raia hao 14,000 hakuna chombo cha habari cha magharibi kimewahi kulizungumzia hilo, wako kimya kabisa - kazi kumsema sema vibaya Putin na kumzulia tuhuma ambazo hazina kichwa wala miguu.
Angekuwa amefanikiwa angekuwa keshamaliza hiyo 'special operation ya 72hrs' siku nyingi.Tunachokiona ni wanajeshi wake wakipukutika na special operation imekuwa mwiba kwake,haya mengine tuna andika tu hapa kwa kuwa mpo kwenye denial hamuamini vile Russia kadharirika kwa hii Vita,ule U superpower wake ulikuwa umejazwa na propaganda nyingi za kijamaa.
 
Sasa kama ni uwongo tusherekee.leteni habari za ukweli tuone kama tutapinga
Utazionaje za upande usioupenda kuwa ni habari za kweli? Wewe bakia na upande wako uamini kile roho yako inapenda kukisikia lakini huwezi kuwatolea povu wanaoleta za upande wa pili sababu tu hupendi kuzisikia.Tatizo lenu mpo kwenye denial na tunawaelewa.

Slava Ukrain [emoji110]
 
warussi wanakula kichapo uko kherson kina waumiza mpaka hawa warussi wetu wa mchamba wima mabonde kuinama mabwepande mpijimagohe bom-bom kijiwe Samli mkuranga kibiti bila kuwasahau wale wa kwa mtogole na bi nyau habari za kipigo zime wafikia
 
Inajua vizuri kwamba inapigana indirectly na zaidi ya mataifa 26, na bado anawapelekesha kashi kashi - muda si mrefu wao na kiranja wao mkuu watakata tamaa na kusitisha kumsaidia a highly unpredictable Zelensky siku hiyo inakuja.
ili Urusi aachiwe kuzid kujitanua ?
 
Lini Putin au jeshi lake liliwahi kutamka in public kwamba litaichukua Kiev ndani ya siku tatu - lini??

Mambo mengi yanayo semwa humu pamoja na media za magharibi ni adithi za kubuni tu - hawataki kusema ukweli kwamba katika operation inayo endelea lengo kuu la Putin lilikuwa and still is:kuwakomboa WA Ukraine wenye asili ya Urusi huko magharibi mwa Ukraine,kuwanyanganya silaha ma neo-NAZI (Azov) yote hayo Putin amefanikiwa kwa asili mia kubwa - kilicho baki ni kupitisha referendum kwa wale wanaopendelea kubaki chini ya utawala wa Zelensky au kujiunga na mother Russia, chaguo ni lao - majority walisha choka kwa kuwa chini ya Utawala wa Kiev ambao umekwisha angamiza zaidi ya raia hao 14,000, cha ajabu hakuna chombo cha habari cha magharibi hata kimoja kimewahi kulizungumzia hilo, wako kimya kabisa - kazi kumsema sema vibaya Putin na kumzulia tuhuma ambazo hazina kichwa wala miguu.

Waseme wapendalo lakini ukweli utaendelea kubaki pale pale, namely: Putin atawashinda ma mafia hawa na wafadhili wao wakuu kuabika mchana kweupe, the World banks on Putin noble efforts to contain western inept hegemony na huu ndio mwanzo makubwa yanakuja.
walienda kyiev kufanya nn ?
 
Angekuwa amefanikiwa angekuwa keshamaliza hiyo 'special operation ya 72hrs' siku nyingi.Tunachokiona ni wanajeshi wake wakipukutika na special operation imekuwa mwiba kwake,haya mengine tuna andika tu hapa kwa kuwa mpo kwenye denial hamuamini vile Russia kadharirika kwa hii Vita,ule U superpower wake ulikuwa umejazwa na propaganda nyingi za kijamaa.

Mnacho sahau ni kile kilicho tokea huko VietNam hamna habari kwamba Hyperpower wenu alipoteza military flying machines(fighter jets, bombers, choppers) zaidi ya 20,000 (elfu ishirini),je,hilo na jambo la kawaida kulikumba Taifa linalo jitangaza kila siku kwamba ni Mega Super Power linakuja kushindwa na kudhalilishwa na kijtaifa ambacho GDP yake hata mji ndogo wa huko Merikani - tafuteni video clip za 1975 kutoka Utube zinazo onyesha jeshi majeshi ya US yalivyo kuwa yanawakimbia wa VietCong,je, nini kilitokea huko Afghanistan mwaka juzi ya VietNam yalijirudia tena - mbona hayo hamuyasemi masaa yote Putin this Putin that - mara ooh, Russia si lolote si chochote kashindwa na Zelensky - je,na sisi tusemeje kuhusu u-superpower wa US baada ya kuvurumishwa mkuku kutoka VietNam na Afghanistan na ushahidi hupo lakini nyinyi hilo hamulioni kazi kubeza beza Putin na jeshi lake, hivi mmewahi kujiuliza swali la msingi kwamba kama Urusi hisingekuwepo Dunia ingekuwa hali gani? Ni wazi wote tungekuwa watu wa kupelekeshwa fang fang na Merikani, wangefanya wapendalo mpaka kufikia hatua ya kutufanya watumwa mambo leo,mara ngapi wanajiingiza kwenye internal affairs za mataifa mengine bila ya kupiga hodi,hawaendi mbali zaidi na njama zao kwa kuhofia Urusi na Uchina.
 
Back
Top Bottom