Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaka au ndugu unataka niweke wazi ili umfiche au wamfiche nimeeleza for more information ni pm
Hilo jina Samantha mbona kengele zinalia isije kuwa mnaishi na yule white widow aliyezungumziwa Nakumatt ilipopigwa Kenya!Na hao pichani kutoka Nepal-what if ni mercenaries wamekuja kwa kazi maalum tubaki kusema wamekimbia maisha magumu!komandoo akimbie nchi?labda kaasi.
Mtwara wamejaa tele wahamiaji haramu. Mwingine raia wa Uingereza Mama anaitwa Samantha anaishi mitaa ya Mnarani anamiliki Lorge ipo mitaa ya Shangani karibu na Pride FM. Vibali vya kuishi nchini na vya kuendesha lorge ni magumashi matupu. Wahamiaji haramu wamejaa hapa Mtwara na wanasaidiwa na jamaa mmoja wa uhamiaji na sehemu ya kuchukulia mshiko anachukulia pale Posta Mkoa ndani ya gari. Hao wachina ndo usiseme kiwanda cha Cement kinachojengwa nje ya mji wa mtwara kumejaa wachina wengi wao ni magumashi... kama Hongkong yani.
Hilo jina Samantha mbona kengele zinalia isije kuwa mnaishi na yule white widow aliyezungumziwa Nakumatt ilipopigwa Kenya!Na hao pichani kutoka Nepal-what if ni mercenaries wamekuja kwa kazi maalum tubaki kusema wamekimbia maisha magumu!komandoo akimbie nchi?labda kaasi.
div 5,hujui kama nchi hii ya Nepal wanafuata dini ya Hindu na ni Buddhists,wamechanganya dini mbili hizo kwa wakati mmoja.hao ndio magaidi wenyewe, unaweza kuta ndio ISIS wamekuja kusaidia wenzao kina Farid!
div 5,hujui kama nchi hii ya Nepal wanafuata dini ya Hindu na ni Buddhists,wamechanganya dini mbili hizo kwa wakati mmoja.
Hao ni wahamiaji haramu wanajitafutia maisha bora kama ilivyo kwa Watanzania wengi waliozamia nchi zingine.
Watanzania wengi sana utawakuta nchi za nje wakiishi bila uhalali kwa kutafuta maisha bora, sidhani kama hii ni big issue, ikumbukwe kuwa mila za Nepal ni sifa kwa kijana yoyote kuingia jeshini kama ndio kitu cha kwanza cha maisha yake na kama hakuwa jeshini basi thamani yake hushuka.
Sioni tatizo la hao kuwa hao waliwahi kuwa wanajeshi huko kwao. Ni wazamiaji kama wazamiaji wengine wowote.
Migration na Usalama wa Taifa kwa ujumla wanatakiwa kutoa namba za simu maalum ambazo raia wangekuwa wanatolea taarifa juu ya mambo yenye wasiwasi kama haya na mengineyo yote ya kutilia shaka!
Mambo ya kujipeleka polisi! hm! unaweza kuuzwa wewe instead.