Wanajeshi wawili wa Uganda wahukumiwa kifo Somalia

Wanajeshi wawili wa Uganda wahukumiwa kifo Somalia

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Wanajeshi watano wa Uganda wanaofanya kazi na vikosi vya Umoja wa Afrika nchini Somalia wamekutwa na hatia ya kuwaua raia saba nchini humo.

Wawili kati ya wanajeshi hao wamehukumiwa kifo, huku wengine watatu wamehukumiwa kifungo cha miaka 39 gerezani kila mmoja.

Wanajeshi hao watatu watarudishwa Uganda ili kutumikia vifungo vyao. Raia hao waliuawa kinyume cha sheria wakati wa mapigano ya risasi huko Golweyn kati ya wanajeshi wake na wanamgambo wa al-Shabab, AU inasema.

Jeshi la Amisom la Umoja wa Afrika limekuwepo Somalia kwa miaka 14. Limekuwa likipambana na wanamgambo wa Kiislamu wa al-Shabab ambao wanashikilia sehemu ya nchi hiyo.

Karibu theluthi ya jeshi la Amisom lenye maafisa 20,000 wanatoka Uganda- likiwa ni sehemu kubwa ya jeshi kuliko wanaotoka nchi nyingine.

Uamuzi wa mahakama ya kijeshi wa Jumamosi wa Uganda unakuja mwezi mmoja baada ya AU kutangaza kutaka kupanua operesheni yake ya kijeshi nchini Somalia, ikisubiri kibali kutoka kwa Umoja wa Mataifa na serikali ya Somalia.

BBC
 
Wanajeshi watano wa Uganda wanaofanya kazi na vikosi vya Umoja wa Afrika nchini Somalia wamekutwa na hatia ya kuwaua raia saba nchini humo.

Wawili kati ya wanajeshi hao wamehukumiwa kifo, huku wengine watatu wamehukumiwa kifungo cha miaka 39 gerezani kila mmoja.

Wanajeshi hao watatu watarudishwa Uganda ili kutumikia vifungo vyao. Raia hao waliuawa kinyume cha sheria wakati wa mapigano ya risasi huko Golweyn kati ya wanajeshi wake na wanamgambo wa al-Shabab, AU inasema.

Jeshi la Amisom la Umoja wa Afrika limekuwepo Somalia kwa miaka 14. Limekuwa likipambana na wanamgambo wa Kiislamu wa al-Shabab ambao wanashikilia sehemu ya nchi hiyo.

Karibu theluthi ya jeshi la Amisom lenye maafisa 20,000 wanatoka Uganda- likiwa ni sehemu kubwa ya jeshi kuliko wanaotoka nchi nyingine.

Uamuzi wa mahakama ya kijeshi wa Jumamosi wa Uganda unakuja mwezi mmoja baada ya AU kutangaza kutaka kupanua operesheni yake ya kijeshi nchini Somalia, ikisubiri kibali kutoka kwa Umoja wa Mataifa na serikali ya Somalia.


BBC

Miss eee,,,wauliwe haraka, tena kwa kitanzi.
 
Ila hao hao ndo wanawajengea barabara, wanawapa maji, wanawapa chanjo, wanawapa kila kitu

Haisaidii chochote,,,uhai wa mtu haurudi. Wameshauwa innocent people nchi za kiisilamu na wamewaacha wakiendelea kupata tabu, kuuwana wao kwa wao kisa masilahi yao. Huwa nachukia sana mkiwa munawatetea hawa wauwaji.
 
Hivi Iraq, Afghanstan wanao ua si waislamu wenzeni?
Wanaoua wengi sio waislamu bali wanatumia jina la uislamu,
Isis ni zao la wazungu,,
Na sio kila mwarabu ni muislamu,
Ni rahisi sana kuvaa kanzu na kofia au kilemba na tayari ukaitwa muislamu
Ila inataka cool mind na uadilifu kuelewa na kukubali ukweli huu
Vinginevyo ni oye oye tu
 
Wanaoua wengi sio waislamu bali wanatumia jina la uislamu,
Isis ni zao la wazungu,,
Na sio kila mwarabu ni muislamu,
Ni rahisi sana kuvaa kanzu na kofia au kilemba na tayari ukaitwa muislamu
Ila inataka cool mind na uadilifu kuelewa na kukubali ukweli huu
Vinginevyo ni oye oye tu

Kwani waislam hua hawakimbilii nchi zenye kutumia sharia?Wanapenda kukimbilia nchi za makafiri?
 
Wanajeshi watano wa Uganda wanaofanya kazi na vikosi vya Umoja wa Afrika nchini Somalia wamekutwa na hatia ya kuwaua raia saba nchini humo.

Wawili kati ya wanajeshi hao wamehukumiwa kifo, huku wengine watatu wamehukumiwa kifungo cha miaka 39 gerezani kila mmoja.

Wanajeshi hao watatu watarudishwa Uganda ili kutumikia vifungo vyao. Raia hao waliuawa kinyume cha sheria wakati wa mapigano ya risasi huko Golweyn kati ya wanajeshi wake na wanamgambo wa al-Shabab, AU inasema.

Jeshi la Amisom la Umoja wa Afrika limekuwepo Somalia kwa miaka 14. Limekuwa likipambana na wanamgambo wa Kiislamu wa al-Shabab ambao wanashikilia sehemu ya nchi hiyo.

Karibu theluthi ya jeshi la Amisom lenye maafisa 20,000 wanatoka Uganda- likiwa ni sehemu kubwa ya jeshi kuliko wanaotoka nchi nyingine.

Uamuzi wa mahakama ya kijeshi wa Jumamosi wa Uganda unakuja mwezi mmoja baada ya AU kutangaza kutaka kupanua operesheni yake ya kijeshi nchini Somalia, ikisubiri kibali kutoka kwa Umoja wa Mataifa na serikali ya Somalia.


BBC
Uganda inakubali vp wanajeshi wake kuhukumiwa Somalia?huu ni udhaifu wa hali ya juu
 
Back
Top Bottom