inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ndiyo,yapoSomalia kuna mafuta? kweli CCM imeharibu kabisa Elimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo,yapoSomalia kuna mafuta? kweli CCM imeharibu kabisa Elimu
Na silaha wananunua kwa hao hao makafir, yaani Waislamu ni Hatari mno,hebu jaribu kufikiria Dunia ingekuwaje endapo Waislamu ndo wangekuwa na nguvu Kama mataifa ya kikristo?
Ukitumia neno "makafiri" unatuogofya, maana unaweza kuingiza siasa kali itayalenga ambao siyo Waisl;amu! Ingetosha tu, usingeingiza udini.
Acha ujinga wa dini, ubaguzi utakumaliza na hutafika popoteMataifa ya kikristo yana nguvu gani⁉️
Zaidi ya kudhulumu watu?
Uadilifu ni ziro kila alipo mkiristo,
Akiwa na cheo atajaza dini yake na kabila yake, mashuleni wanapasishana bila haki matokeo yake mifisadi imejaa serikalini kwa kukosa dini sahihi
Nyie Waislamu huwa wapumbavu sana, Mungu aliwajua mapema akawanyima nguvu, vinginevyo mngechinja watu wote Duniani wasio Waislamu,mtabakia kubweka tu, Israel hiyo hapo mmeifanya nini?
Kafiri ni wewe unayemuona mwenzako kafiri, una wema gani mbele za Mungu hata kuita wenzako kafiri? Kwa nini mwenyezi Mungu aruhusu hao makafiri wazaliwe au wanawake wao wabebe mimba?Kwani uongo hao co makafiri!!!
Aliyeanza kuuponda uislamu na yeye umemjibu nini?Acha ujinga wa dini, ubaguzi utakumaliza na hutafika popote
Kafiri ni wewe unayemuona mwenzako kafiri, una wema gani mbele za Mungu hata kuita wenzako kafiri? Kwa nini mwenyezi Mungu aruhusu hao makafiri wazaliwe au wanawake wao wabebe mimba?
Well saidKafiri co tusi bibie
Maana ya 'kafiri' ni kila asiekuwa Muislamu. Kama kuna mtu anakereka na kukwazika kwa kuitwa kafiri, njia ya kuepukana na hilo awe Muislamu
Nimeamini kweli uwezo wako ni mdogo neno kafiri kwa lugha ya kiswahili ni mtu yoyote asiye na dini, na sio asiyekuwa Muslim.Kafiri co tusi bibie
Maana ya 'kafiri' ni kila asiekuwa Muislamu. Kama kuna mtu anakereka na kukwazika kwa kuitwa kafiri, njia ya kuepukana na hilo awe Muislamu
Acheni ushamba wenuWell said
Kweli tupu
Nimeamini kweli uwezo wako ni mdogo neno kafiri kwa lugha ya kiswahili ni mtu yoyote asiye na dini, na sio asiyekuwa Muslim.
Je na nyie waislam tukiwaita magaidi
Unaumia?Acheni ushamba wenu
Hio alama yako nyeusi kwenye paji lako la uso isikudanganye ukajiona kwamba eti wewe ndio unamjua sana mwenyezi Mungu kuliko wengine.Hao makafiri ipo cku watakipata wakitakacho
Sasa mujahidin wameshika nchi huko Afghanistan lakin unaona hali ilivyoHaisaidii chochote,,,uhai wa mtu haurudi. Wameshauwa innocent people nchi za kiisilamu na wamewaacha wakiendelea kupata tabu, kuuwana wao kwa wao kisa masilahi yao. Huwa nachukia sana mkiwa munawatetea hawa wauwaji.
Nenda kafanye tafiti kwenye kampuni za azam ulete mrejeshoMataifa ya kikristo yana nguvu gani[emoji3480]
Zaidi ya kudhulumu watu?
Uadilifu ni ziro kila alipo mkiristo,
Akiwa na cheo atajaza dini yake na kabila yake, mashuleni wanapasishana bila haki matokeo yake mifisadi imejaa serikalini kwa kukosa dini sahihi
hapo hakuna atakayefungwa ,Wala kuuliwa!!,hao ni wanajeshi walikuwa kwenye mapigano ,raia waliuawa kwa makosa ya ki battlë ,kwenye battle huwez kumuamini raia kirahs kumbuka wanamgambo Kuna wakati wanavaa kiraia na wakati mwngine wanashrikiana na raia wasio waaminifu kuwauza wajeshi!! Hapo Kuna harufu ya ubaguz na chuki Kati ya wanajeshi wazawa wa kisomalia na majeshi ya kigeni !!Miss eee,,,wauliwe haraka, tena kwa kitanzi.
Kwamba kuna waislam wengi?Nenda kafanye tafiti kwenye kampuni za azam ulete mrejesho
Sent from my DRA-LX2 using JamiiForums mobile app