Wanajeshi wawili wa Uganda wahukumiwa kifo Somalia

Bora anza kuvuta bangi unaulevi mbaya Sana wa dini
 
Ila hao hao ndo wanawajengea barabara, wanawapa maji, wanawapa chanjo, wanawapa kila kitu
Na silaha wananunua kwa hao hao makafir, yaani Waislamu ni Hatari mno,hebu jaribu kufikiria Dunia ingekuwaje endapo Waislamu ndo wangekuwa na nguvu Kama mataifa ya kikristo?
 
Eti ni zao la wazungu,kwa hiyo ISIS imejaa wazungu na siyo Waarabu?
Nyie huwa maboya sana
 
Na silaha wananunua kwa hao hao makafir, yaani Waislamu ni Hatari mno,hebu jaribu kufikiria Dunia ingekuwaje endapo Waislamu ndo wangekuwa na nguvu Kama mataifa ya kikristo?
Sote tungekuwa twavaa kanzu
 
Nyie Waislamu huwa wapumbavu sana, Mungu aliwajua mapema akawanyima nguvu, vinginevyo mngechinja watu wote Duniani wasio Waislamu,mtabakia kubweka tu, Israel hiyo hapo mmeifanya nini?
Ni kwa vile huoni mateso wayapatayo, laiti ungejua ungewaonea huruma,
Hawana amani ya mioyo wala miili yao wala roho zao kutwa kucha kujihami, kisa⁉️
 
Na silaha wananunua kwa hao hao makafir, yaani Waislamu ni Hatari mno,hebu jaribu kufikiria Dunia ingekuwaje endapo Waislamu ndo wangekuwa na nguvu Kama mataifa ya kikristo?
Mataifa ya kikristo yana nguvu gani⁉️
Zaidi ya kudhulumu watu?
Uadilifu ni ziro kila alipo mkiristo,
Akiwa na cheo atajaza dini yake na kabila yake, mashuleni wanapasishana bila haki matokeo yake mifisadi imejaa serikalini kwa kukosa dini sahihi
 
Mwambie kweli huyo, naona hajui hata hiyo simu anayotumia imetoka kwa haohao anaowaita makafiri
China pia anatengeza simu,
Na pia uislamu haukukataza kununua kwa asiye muislamu,
Kwani hakupi bure
Tunaruhusiwa kuuza na kununua kwa yeyote maadamu ni biashara halali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…