Hilo ni baba la baba limekuja kwako na hapo unapoishi alikupa wewe🤣🤣🤣Salaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahWanatulia tu waendelee kula bia na nyapu za uswahilini , jeshi la marekani lina nguvu kubwa kuliko kawaida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nikionaga ile picha, Ruto anachekaaa hana habariii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani mazishi ya Queen Elizabeth hukuyaona ndugu Raia mpya ? Wakati viongozi wa Asia na Africa wakipakiwa kwenye Marco Polo, Joe Biden alikuwa kwenye The Beast na security detail ya kipekee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walikua wanatumwa tuu sigara na kufagilishwa kama watoto
Mmmmh hebu sema kweliiii???Wakati wa JK walipanda hadi darini kule jumba jeupe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwny mazishi ya Queen Elizabeth ulimuona Biden aki-share bus na wenzake?
Eti Ndio DuniaHiyo ni kawaida, na mifumo yote ya Serikali inajuwa. Siyo mara ya kwanza hilo kutokea kwani hata George Bush Jr, na Barack Obama walipokuja security protocol ilibadilika. Mind you USA ndiyo dunia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Marekani isingekua rahisi kuacha VP wao alindwe na wanajeshi wenye mbinu za kikoloni na silaha zenye hadhi ya manati
Wakubwa hawa hatuwawezi, kama Azori alipotea hapo Kibiti na hajapatikana hadi leo na wako hapo nani awaamini...hao washakuwa kama sisi Simba asiye na meno, hakuna anayewaogopa mkuu endela na maisha.Salaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Kwahiyo ni sawa?Hiyo ni kawaida, na mifumo yote ya Serikali inajuwa. Siyo mara ya kwanza hilo kutokea kwani hata George Bush Jr, na Barack Obama walipokuja security protocol ilibadilika. Mind you USA ndiyo dunia
Khaaaaaah mbna hatareeee, jw angekua paka wa magogoni angefurushwaaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Trump alivyoenda uingereza kikosi Cha ulinzi Cha marekani kilichanganyikiwa baada ya paka was malkia kwenda kujipumzisha uvunguni mwa gari la Trump wakati limepaki ikulu ya uingereza. Walishindwa kumtoa kwani walielezwa paka Yule no popular uingereza .Aliondoka alivyotaka mwenyewe
Sio wanajiona ndo ukweli wenyewe, tena hawa wakwetu nikiwasikia napata kichefu chefu, mwaka flani hapo awamu ya 5, walijida ETI watafnya usafi nchi nzima sikuona hata mmoja au walikuja kwako?Sasa kama hatuko compentence kwa medani za kijeshi inabidi washike wao tu ili likitokea la kutokea wa kulaumiwa ni wao. Hawa jamaa huwa wanajiona ni superior zaidi kuliko majeshi yote duniani. Wanafanya hivyo kwa nchi zenye uwezo mdogo wa kijeshi. Wakienda uingereza, china na urusi hawawezi kuweka pembeni majeshi ya nchi hizn washike wao. Hawana imani na ulinzi wa majeshi ya nchi masikini na huwa kero kwa kiongozi wao anapotembelea nchi hizo
Hakuna kitu kama hicho bali ni ulinzi wa kawaida tu ukisimamiwa na pande zoteIna maana Usa akienda hata nchi za Ulaya napo anafanya kama alivyofanya huku bongo??
hatuko competenthatuko compentence
Jiridhishe kabla ya ku-comment, umepotosha.Wakienda uingereza, china na urusi hawawezi kuweka pembeni majeshi ya nchi hizn washike wao.
Ikulu ya uingereza.....hahaaaa wanyalu na stori za vijiweniTrump alivyoenda uingereza kikosi Cha ulinzi Cha marekani kilichanganyikiwa baada ya paka was malkia kwenda kujipumzisha uvunguni mwa gari la Trump wakati limepaki ikulu ya uingereza. Walishindwa kumtoa kwani walielezwa paka Yule no popular uingereza .Aliondoka alivyotaka mwenyewe