Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekuuma auSalaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Mbn kila Post unacheka tuuu......, Sometimes kuwa kimya ni busara zaidi kuliko kufanya vitu vya kipuuzi kama hivi ambavyo vinashusha hadhi yako...Khaaaaaah mbna hatareeee, jw angekua paka wa magogoni angefurushwaaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unabisha tu kwa sababu unabisha, ila USA baada ya WWII mwaka 1945 ndiye self appointed policeman of the world, period. Kukubali ukweli siyo unyongeEti Ndio Dunia
Hizi Akili za Kinyonge Mziache
Nenda kwanza kaomboleze kipigo cha 4-1 kutoka kwa Man City. Liverpool hakuna beki na hakuna mid fieldKwahiyo ni sawa?
""wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??""
#YNWA
Ninyi mna wanajeshi au migambo ?Salaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Ndio maana mnafeli mitihani ,umeulizwa wanajisikiaje ww unajibu tofauti kabisa.Hiyo ni kawaida, na mifumo yote ya Serikali inajuwa. Siyo mara ya kwanza hilo kutokea kwani hata George Bush Jr, na Barack Obama walipokuja security protocol ilibadilika. Mind you USA ndiyo dunia