Wanajeshi wetu wanajisikiaje??

Wanajeshi wetu wanajisikiaje??

Wanajisikia ndivyo sivyo, ila nguvu ya uchumi ndio muamuzi sahihi.
 
Hiyo ni kawaida, na mifumo yote ya Serikali inajuwa. Siyo mara ya kwanza hilo kutokea kwani hata George Bush Jr, na Barack Obama walipokuja security protocol ilibadilika. Mind you USA ndiyo dunia
Kuna insu kubwa inaendelea kati ya USA na Tanzania,yani Tawala zote 3 za USA za hivi karibuni Ma Rais wao kuna hapa sio coincidence.
 
kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Kama wanaweza kuhujumu viongozi wao ndani ya nchi yao ndiyo watawalinda wageni kwa uadilifu? Ukizingatia mpaka dakika hii hatujulikani tupo na Putin au Byeden
 
Sasa askari wetu asilimia kubwa wanavitambi.........ukiambiwa Dunia ya tatu hii ndiyo maana yake halisi
 
Salaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Teknolojia na vifaa mkuu..
 
Mimi ningekuwa Mwanajeshi kwanza nisingeona shida, Marekani ni kubwa sana, yaani ni dubwana la kutisha.

Ningeangalia A, B, C wanavyofanya na ningeshauri hapa na pale parekebishwe au kubadilisha kama ningekuwa na uwezo huo.

Maandishi matatu sio Dubai
 
Salaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Ulitaka wajusikieje labda?
Au unadhani ni sifa kusimama barabarani kama mlinzi?
Au ulitaka wawe na kiherehere gani cha kulalamikia kupangwa lindo?


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Hawaaminiki kwa sababu wamejiachia sana kazi yao kufakamia mavyakula huko makambini matokeo yake wanakuwa na vitambi kama pipa,wanachoweza wao ni kuonea raia mitaani na barabarani wakijifanya wababe kumbe hawana lolote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbn kila Post unacheka tuuu......, Sometimes kuwa kimya ni busara zaidi kuliko kufanya vitu vya kipuuzi kama hivi ambavyo vinashusha hadhi yako...

Kwani ukicheka nyuma ya Keyboard ukapita inakupa tabu gani? Au unavyotutumia emoji za kucheka kila sasa unataka tukufikirie vip?......

Asante.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kheeeeh wee mie nisichekee kisa nn?? Hebu niachee, makasiriko yako huko huko, hainihusu.
 
Back
Top Bottom