Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Tusubiri uhuru day waje wamebeba mibegi mizito na kuvunja mawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ndiyo mnafeli mitihani kwa kuwa mna majibu ya kukariri. Angalia nimepata likes ngapi ndiyo ujue wenzio wamenielewaNdio maana mnafeli mitihani ,umeulizwa wanajisikiaje ww unajibu tofauti kabisa.
Hukuona kule mazishini kwa malkia joe aliingia na msafara samia akapanda kimbinyiko!!? Kumbe hukuona.Ina maana Usa akienda hata nchi za Ulaya napo anafanya kama alivyofanya huku bongo??
KabisaWanatulia tu waendelee kula bia na nyapu za uswahilini , jeshi la marekani lina nguvu kubwa kuliko kawaida
Kuna insu kubwa inaendelea kati ya USA na Tanzania,yani Tawala zote 3 za USA za hivi karibuni Ma Rais wao kuna hapa sio coincidence.Hiyo ni kawaida, na mifumo yote ya Serikali inajuwa. Siyo mara ya kwanza hilo kutokea kwani hata George Bush Jr, na Barack Obama walipokuja security protocol ilibadilika. Mind you USA ndiyo dunia
Kama wanaweza kuhujumu viongozi wao ndani ya nchi yao ndiyo watawalinda wageni kwa uadilifu? Ukizingatia mpaka dakika hii hatujulikani tupo na Putin au Byedenkuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Teknolojia na vifaa mkuu..Salaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Na kubeba mabegi yenye mizigo mizitoWanajeshi wetu wa kuvunja matofali
Mzee unawaogopa sana wamarekaniKwny mazishi ya Queen Elizabeth ulimuona Biden aki-share bus na wenzake?
Wewe ni mwehu unajifanya kama mgeni hapa dunianiEti Ndio Dunia
Hizi Akili za Kinyonge Mziache
Acha uongoZipo nchi ambazo haruhusiwi kwenda na ulinzi wake China na Urusi ni miongoni mwa hizo nchi.
Ulitaka wajusikieje labda?Salaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya ndo majibu tunayoyataka,Kwakweli wanatia huruma alafu Askari wa marekani wakishaondoka wanaanza tena kuvimba mtaani bila aibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawaaminiki kwa sababu wamejiachia sana kazi yao kufakamia mavyakula huko makambini matokeo yake wanakuwa na vitambi kama pipa,wanachoweza wao ni kuonea raia mitaani na barabarani wakijifanya wababe kumbe hawana lolote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kheeeeh wee mie nisichekee kisa nn?? Hebu niachee, makasiriko yako huko huko, hainihusu.Mbn kila Post unacheka tuuu......, Sometimes kuwa kimya ni busara zaidi kuliko kufanya vitu vya kipuuzi kama hivi ambavyo vinashusha hadhi yako...
Kwani ukicheka nyuma ya Keyboard ukapita inakupa tabu gani? Au unavyotutumia emoji za kucheka kila sasa unataka tukufikirie vip?......
Asante.