Wanajeshi wetu wanajisikiaje??

Aliyekuzidi kakuzidi tu,kiongoz wa Marekani ana maadui wengi ndio maana ulinzi wake uko juu,...huwezi shindana na mtu aliyekuzidi...Marekani ni dunia.
 
Kwa hiyo dar es salaam ndiyo nchi!?..hao mabwana zako walilinda mipaka ya ngara?!
 
Mtoa mada jaribu kuwa serious kidogo ya mtu apasue jiwe Kwa kichwa Kila 9 Dec ,alafu awe mlinzi wa Rais wa marekani!? Acha ujinga bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…