[emoji120][emoji123][emoji120][emoji23]Huyo sikatai.. Yupi kote anacheza kama Messi.
[emoji120][emoji120][emoji120]Uzuri wa hii njemba haikurupuki inapoanzisha uzi.
Njuzi zake ziko nondo, hata kama ni mistari 3 tu ukiipitia unapata ujumbe mzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Hayo majukwaa yote ina maana ni imara sana hakuna hata moja liliwahi kumwangusha?daimond kafanya shoo sehem mbali mbali juzi tuu hapa jukwaa limemndosha
[emoji120][emoji120][emoji120]All weather kwa Mshana ni sahihi pia, kwamba hachuji na yupo kwa muda mrefu.
Ila unakuwa umempunja kwa sababu haitoi ufafanuzi kwamba jamaa yuko note, MMU, Chitchat, Intelligence, Siasa, Imani, JLW, Biashara etc na note anapatendea haki.
Dahhh, huyu nimemuweka kwenye Ignore List , nashukuru sijaona alichopostNilitaka niseme "andika vizuri basi" ila nikasoma I'd yako nikaamua kuacha maana HAUSHAURIKI.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji120][emoji123][emoji120][emoji23]
Jr[emoji769]
Sio wangu jamani.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
Niko mahali nakula munde chini ya upepo mwanana huku niki enjoy JF... Niko freeMzee hivi huwa unapitia comment moja mpaka nyingine [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]sikuwezi!!
Niko mahali nakula munde chini ya upepo mwanana huku niki enjoy JF... Niko free
Jr[emoji769]
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji30][emoji30][emoji87][emoji87][emoji23][emoji23][emoji23]Mshana Jr ni kama chaja ya kobe,kote yupo
Hata betri ya pikipiki inachajiwa tu[emoji1321][emoji3603]
Nasi tupambane kufikia level zaoKuna watu kama: kichuguu, Nguruvi3, zakumi, tujitegemee, Rev Kishoka etc ni watu wenye mawazo mapana zaidi na wenye kubashiri mambo. Nadhan wao ni bora kabisa kwenye jf ingawa wao wako tu jukwaa la great thinkers
Kwenye jukwaa letu pendwa la wazee wa kuweka mzigo, hayupoAisee huyu Mshana Jr anajua almost kila kitu.... hahah ukienda kwenye politics utamkuta nachangia tena deeply with critical knowledge,
ukiingia jukwaa la kimataifaa yumoo kajaa tele na ushauri kemkem anatoa
jukwaa la intelligensia siongei sana nyie wenyewe mnaonaga maana maswala ya ushirikina uchawi wanga majini wafu yumoo hahahaa
Jukwaa la vichekesho yumo kule piaaa duh
Karibia kila jukwaa yumoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu uyu ndiyo mpanga mipango apo LumumbaNilitaka niseme "andika vizuri basi" ila nikasoma I'd yako nikaamua kuacha maana HAUSHAURIKI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajua wapi sema anajifanya tu anajua lakini yupo empty SanaAisee huyu Mshana Jr anajua almost kila kitu.... hahah ukienda kwenye politics utamkuta nachangia tena deeply with critical knowledge,
ukiingia jukwaa la kimataifaa yumoo kajaa tele na ushauri kemkem anatoa
jukwaa la intelligensia siongei sana nyie wenyewe mnaonaga maana maswala ya ushirikina uchawi wanga majini wafu yumoo hahahaa
Jukwaa la vichekesho yumo kule piaaa duh
Karibia kila jukwaa yumoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyu Sawa maana anajua hadi idadi ya nyota zilizo anganiila kuna mtu wa rufiji huyu anaitwa Kiranga anajua kila kitu
hao wote hawamuwezi