WanaJF Bora wa siku zote

WanaJF Bora wa siku zote

All weather kwa Mshana ni sahihi pia, kwamba hachuji na yupo kwa muda mrefu.

Ila unakuwa umempunja kwa sababu haitoi ufafanuzi kwamba jamaa yuko note, MMU, Chitchat, Intelligence, Siasa, Imani, JLW, Biashara etc na note anapatendea haki.
[emoji120][emoji120][emoji120]

Jr[emoji769]
 
Aisee huyu Mshana Jr anajua almost kila kitu.... hahah ukienda kwenye politics utamkuta nachangia tena deeply with critical knowledge,

ukiingia jukwaa la kimataifaa yumoo kajaa tele na ushauri kemkem anatoa

jukwaa la intelligensia siongei sana nyie wenyewe mnaonaga maana maswala ya ushirikina uchawi wanga majini wafu yumoo hahahaa

Jukwaa la vichekesho yumo kule piaaa duh

Karibia kila jukwaa yumoo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye jukwaa letu pendwa la wazee wa kuweka mzigo, hayupo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee huyu Mshana Jr anajua almost kila kitu.... hahah ukienda kwenye politics utamkuta nachangia tena deeply with critical knowledge,

ukiingia jukwaa la kimataifaa yumoo kajaa tele na ushauri kemkem anatoa

jukwaa la intelligensia siongei sana nyie wenyewe mnaonaga maana maswala ya ushirikina uchawi wanga majini wafu yumoo hahahaa

Jukwaa la vichekesho yumo kule piaaa duh

Karibia kila jukwaa yumoo

Sent using Jamii Forums mobile app
Anajua wapi sema anajifanya tu anajua lakini yupo empty Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom