reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante Kwa kuja 😉Asante ya nini na wewe
Hahah next time itakua kubwa kulikoAhsante Kwa kuja
Sina deni tena kama maua na zawadi ushapata...Hahah next time itakua kubwa kuliko
Jiandae
Hapana bado nakudaiSina deni tena kama maua na zawadi ushapata...
Kha!! Huogopi vocation mtu mbili tu...Hapana bado nakudai
Ulinambia nichague sehemu ya vacation usijisahau jaman
Haahhaha ntavaa nguo ndefu ndefu sio vibukta usije ukanipa muongozo 😆😆Kha!! Huogopi vocation mtu mbili tu...
Huwezi acha kuvaa vigauni na vibukta alafu unadeka deka baridi...Haahhaha ntavaa nguo ndefu ndefu sio vibukta usije ukanipa muongozo 😆😆
Nitavaa hivo ila naomba usinipe muongozoHuwezi acha kuvaa vigauni na vibukta alafu unadeka deka baridi...
Jana ilipendeza sana...Nitavaa hivo ila naomba usinipe muongozo
Muongozo ninao mwnywe kama ule wa jana😉
Ila siwezi kukupita wewe mzee wa miongozo katika taaluma yakoJana ilipendeza sana...
Umetoa miongozi mizuri sana...
Umenikumbusha mawasiliano kabla haijawa stendi. Umenikumbusha hospitali ya kansa ile.. nimemkumbuka WEC na Mshana JrMiaka ile jf ilikua na adabu, siku zile tuliheshimiana na hapa ndani palikua ni kusambaza upendo.
Jf ya sikuizo ilikua na usiri, tulikutana, tulijikula, tuligombana sana lakini bado tuliheshimiana na hatukua tukifunguliana uzi.
Anyway.......
Nina mengi ya kusimulia, ila kwa leo ngoja niishie hapa.
Ebu kwanza nitumie PM yako ili tuonane babe..[emoji39]
Nilikua mwanafunzi...Ila siwezi kukupita wewe mzee wa miongozo katika taaluma yako
Sitatoa tena miongozoNilikua mwanafunzi...
Mwalimu wewe... Hongera sana Kwa miongozo...
Mambo yangu utaniachia mwenyewe...Sitatoa tena miongozo
Nakuachia wewe
Hehehehe ila wewe ni mpana jamanMambo yangu utaniachia mwenyewe...
Huogopi vile mambo yangu yalivyo ya hatari...
Wewe unadeka deka sana...Hehehehe ila wewe ni mpana jaman
Ngoja nikuachie mambo yako mwenywe maana siyawezi