Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,796
- 10,646
Fanya chap sasa jamanWewe unadeka deka sana...
Nakuja muda sii mrefu ulipo...
Nitaondoka mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya chap sasa jamanWewe unadeka deka sana...
Nakuja muda sii mrefu ulipo...
Huwezi kuondoka najua...Fanya chap sasa jaman
Nitaondoka mimi
Njoo Mliman city nakusubiriHuwezi kuondoka najua...
Labda ukimbizwe na dada...
Coming...Njoo Mliman city nakusubiri
Dom wapi
Bondeni walifunga kitambo. Pale pembeni ya HQ liquor storeFanya ukuje WhatsApp kunielekeza si unajua karibu na nilipo au pale bondeni lounge
Sawa mkwe
Siyo kwa ubaya bali kwa mema tu...tupange ratiba ya kuonana hata Mara mbili kwa mwaka....tunaonana kwa ajili ya kufurahi,kubadilishana mawazo,kubadilisha mazingira,kupeana michongo na vingine vingi visivyo na madhara.
Tusibaguane wala kuweka matabaka ...Mali ni zetu lakini uhai si Mali yetu bas muda huu tupo hai tutengeneze aman na upendo sisi kwa sisi.Tanzania ni yetu bas tusitengane wandugu.NAWAPENDA SANA!
Ooh nimeshapapataBondeni walifunga kitambo. Pale pembeni ya HQ liquor store
Ahsante Kwa kunisubiria, am happy kukuona Kwa mara nyingine...Njoo Mliman city nakusubiri
Wow nlizan Au bhasii...
Haaaah! Haaaah! Haaaah! Ngoja nimalize kulipuliza kwanzaTutajitambulisha id zetu au tunakutana tu Kama ming'ombe..?
HeheWanaume wa DAR uzi upisheni tu
Natoa ushauri maan kila mutu umu anasem yuko Dom ,Chuga,njombe,Tanga ,nk Dsm cjaona kabsaHehe
Wanaume wa dar wamekukosea nini
Yna2 uko unaish wap kimasihara!?Hehe
Wanaume wa dar wamekukosea nini
HeeNipo kahama kwa sasa