cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ooooh bas next ijumaa tukutane aunt ake [emoji8][emoji8]Tukutane ijumaa tukale biriani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooooh bas next ijumaa tukutane aunt ake [emoji8][emoji8]Tukutane ijumaa tukale biriani.
Okay I’m waiting 😉Sawa...
Ondoa shaka...
Mikocheni kwanza alafu beach...
😉😉 Ubebe na 👙 nabeba boya ...Okay I’m waiting 😉
Hehehehe naogopa kina kirefu mimi jaman😉😉 Ubebe na 👙 nabeba boya ...
Nakupeleka kwenye kina kirefu... 😉
Nitakushikilia usizame...Hehehehe naogopa kina kirefu mimi jaman
Hicho kingine nitafanya
Mimi na wew tena
Muda wowote mdogo wangu.. ila Sasa nipo nje ya daslaam ya DarWee na mie tukutane lin? Au sijakidhi viwango? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukirudi unistue bas nawee dada angu [emoji4][emoji4][emoji8][emoji8]Muda wowote mdogo wangu.. ila Sasa nipo nje ya daslaam ya Dar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliMwambie utakidhi humohumo
Nitakustua na hivi nitakua nimehamia kwangu makumbusho pale itakua rahisi Sana..sema utachagua sehemu za manyamanyama choma😋😋..Ukirudi unistue bas nawee dada angu [emoji4][emoji4][emoji8][emoji8]
Hahahahaha 🤐Nitakustua na hivi nitakua nimehamia kwangu makumbusho pale itakua rahisi Sana..sema utachagua sehemu za manyamanyama choma😋😋..
😂😂😂😂😛😛😛Hahahahaha 🤐
Hapo sasa dada ake, nishindwee mie tyuuuhNitakustua na hivi nitakua nimehamia kwangu makumbusho pale itakua rahisi Sana..sema utachagua sehemu za manyamanyama choma[emoji39][emoji39]..
Wee unacheka nn? [emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahaha [emoji850]
Anavyosema yupo nje ya mkoa naa atahamia Makumbusho...Wee unacheka nn? [emoji23][emoji23][emoji23]