WanaJF inatakiwa tuonane jamani

WanaJF inatakiwa tuonane jamani

Twende taratibu dada angu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mie najua harusi tunayo, na sare naanza kuandaa, usinichanganye khaaah.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbavu zangu..harusi ipi na Nani...kwanza nimeshachukua fomu ya usister wa nje nianze kumtumikia bwana Yesu mie
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbavu zangu..harusi ipi na Nani...kwanza nimeshachukua fomu ya usister wa nje nianze kumtumikia bwana Yesu mie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah utaniua kwa kucheka sio hivi lol
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ewaaaaaaa
Kaka na Dada wa hiyari a.k.a waarabu wapemba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha wee.
 
Back
Top Bottom