WanaJF inatakiwa tuonane jamani

Wana jamii forums walioko Ukerewe tupange sehem ya kukutania
 
Kabisa mkuu…
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]na wewe mwenywe huna hiana…
Embu fanya kama unawasogelea hivi sweetheart uone nitakufanyaje…
Siwezi nikawadondokea sweetheart nisijie nikashindwa kurudi...
 
Wanamrusha roho mahondaw wa watu [emoji2][emoji3]
 
Dont just fall on their traps sweetheart
Maana mtoto wa mama mkwe una balaa wewe
Hahaha Kuna muda hata Mimi mwenyewe hua najishangaaga na kujiachia mambo yangu mwenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…