Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
We jamaa...
Long time no see bro, kwema kipande hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwema kabisa mkuu...tumepotezana sana aisee...hebu fanya mchakato kuvunja ukimyaWe jamaa...
Long time no see bro, kwema kipande hiyo?
Thank you sweetheart 🥰
Kabisa mkuu…Miaka ile jf ilikua na adabu, siku zile tuliheshimiana na hapa ndani palikua ni kusambaza upendo.
Jf ya sikuizo ilikua na usiri, tulikutana, tulijikula, tuligombana sana lakini bado tuliheshimiana na hatukua tukifunguliana uzi.
Anyway...
Nina mengi ya kusimulia, ila kwa leo ngoja niishie hapa.
Ebu kwanza nitumie PM yako ili tuonane babe..[emoji39]
I feel you sweetheart...Thank you sweetheart 🥰
I love the song
Tanga lushoto...
Super cold freezing...
[emoji3063]
View attachment 2206477
Cc: Darlin [emoji177][emoji177]
Hawawezi sweetheart though Kuna pisi kali alafu hazina hiana...Sweetheart
Hope you are well out there
Wasije wakakuiba na haka kabaridi[emoji12]
Hawawezi sweetheart though Kuna pisi kali alafu hazina hiana...
Siwezi nikawadondokea sweetheart nisijie nikashindwa kurudi...[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]na wewe mwenywe huna hiana…
Embu fanya kama unawasogelea hivi sweetheart uone nitakufanyaje…
Kushindwa kurudi huwezi ila cha moto utakiona sweetieSiwezi nikawadondokea sweetheart nisijie nikashindwa kurudi...
Hizi pisi za huku zinakusahahulisha kurudi...Kushindwa kurudi huwezi ila cha moto utakiona sweetie
Mazingira mazuri kabisa kwa kazi kazi sweetheart😁…
Dont just fall on their traps sweetheartHizi pisi za huku zinakusahahulisha kurudi...
Ndiyo maana nazikwepa....
It's you I want sweetheart
Wanamrusha roho mahondaw wa watu [emoji2][emoji3]Itoshe tu kusema mna mapenzi ya kitoto Darlin. Na msije mkasema nawaonea wivu hapa ila ni ujinga mnaofanya ili tujue nyie ni wapenzi? Kwani nyie kwenye hii dunia ndio wa kwanza kupendana?.
Thread ya mtu mwingine mnaifanya ya kwenu? Anzisheni thread yenu ya kuchart wawili, Acheni ujinga.
Kwani PM ziliwekwa za nini?
Tutakuja yes na tutaenda magoroto as well sweetheart...Mazingira mazuri kabisa kwa kazi kazi sweetheart😁…
Au unasemaje kuhusu hilo
Next time tutaenda wote
Hahaha Kuna muda hata Mimi mwenyewe hua najishangaaga na kujiachia mambo yangu mwenyewe...Dont just fall on their traps sweetheart
Maana mtoto wa mama mkwe una balaa wewe