20-25,25-35,30-45,35-50,40-60,45-70,50-80 na kuendelea...kuingiliana kupo katika age coz kuna kijana ana mawazo ya kiutuuzimaMleta mada weka age group basi, usije kuonana na sie umri ushaenda sana tukaonekana na watoto wa fom foo!!
Hahaha ukionana na mtu humu unapata nini?Ha ha haa,tena?!
Mtuache kwanza kwa sasa tunaelekea kuiteka Kiev na kufuata biolabs za WashingtonHongera sana
Sawa nipo tayari kuoana na wewe.Ebu achana na huyu dogo anae chezea bahati, fanya uonane na mimi hubby material...[emoji39]
Kwani ulitaka uwe mume wa nani kama sio wa mtu? Shauri yako unachezea bahati[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] We mi mume wa mtu..[emoji41]