WanaJF inatakiwa tuonane jamani

WanaJF inatakiwa tuonane jamani

Na ndio ujiulize kwanini polisi walienda ofisi za jf na kutaka taarifa fulani za wana jf!..!
Jichanganye Sasa uone unavyochanganywa..

Hilo swali langu hapo juu la ming'ombe linamaana sana..😂
Bas tutakutana kwa majina yetu halisi ya jf kapuni....tutaanza kumsema@mzabzab na mbususu zake kumbe unaecheka sana ndo mzabzab
 
Afu ni ujinga huo...kulaneni kimyakimya maana mitafuno ni dhambi ivo usiitukuze dhambi yako
Mungu akutunze mwali, hapa naona kabisa gari bovu mie nishapata gari zima la kunisogezea mwendo...😚😊
 
Back
Top Bottom