Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]Tena kwa staha pasipo kuvunja chaga, tena enzi zile sikuwahi kuona member aliemfungulia uzi mwenzake "eti kwasababu amekutana na kiba100"...[emoji4][emoji5]
Tunaonana sana ila privately😀 nafikiri tuendelee na moyo huo huo!Siyo kwa ubaya bali kwa mema tu...tupange ratiba ya kuonana hata Mara mbili kwa mwaka....tunaonana kwa ajili ya kufurahi,kubadilishana mawazo,kubadilisha mazingira,kupeana michongo na vingine vingi visivyo na madhara.
Tusibaguane wala kuweka matabaka ...Mali ni zetu lakini uhai si Mali yetu bas muda huu tupo hai tutengeneze aman na upendo sisi kwa sisi.Tanzania ni yetu bas tusitengane wandugu.NAWAPENDA SANA!
Kama hauendi na mimi siendiiMtakaoonana mtanihadithia
Kilimkuta nini kwani??Muulize Mzigua90 akueleze ubaya wa kukutana
Muulize maana yupo amejaa teleKilimkuta nini kwani??
[emoji3][emoji3] hakuna mlinzi hum wala mpiga debe wote tupo ofisini[emoji124][emoji1241]Muonane halafu mjue ukweli,wakati humu jf kila mtu ana gari[emoji28] ana hela[emoji14] kasoma [emoji2] ana maisha mazuri[emoji16].
😂 Aisee! Mi me ndugu
Mna undugu na deepbond?
Tusiende my wanguKama hauendi na mimi siendii
Saawaa nami nataka tuonane naweweSiyo kwa ubaya bali kwa mema tu...tupange ratiba ya kuonana hata Mara mbili kwa mwaka....tunaonana kwa ajili ya kufurahi,kubadilishana mawazo,kubadilisha mazingira,kupeana michongo na vingine vingi visivyo na madhara.
Tusibaguane wala kuweka matabaka ...Mali ni zetu lakini uhai si Mali yetu bas muda huu tupo hai tutengeneze aman na upendo sisi kwa sisi.Tanzania ni yetu bas tusitengane wandugu.NAWAPENDA SANA!
Nyie hata msije maana mkilewaga mnatufanyia fujo halafu njia ya kwenda kwenu huwa mnaisahau! Mkija jueni mtakunywa juisi ya embe!.Tusiende my wangu
Sinywi pombeNyie hata msije maana mkilewaga mnatufanyia fujo halafu njia ya kwenda kwenu huwa mnaisahau! Mkija jueni mtakunywa juisi ya embe!.
🤨 Kulewa mahaba!.Sinywi pombe
Sasa sijui unamanisha kulewa nini
Aaaaaaah.Karucee my Bebi,fanya kuchepuka siku moja na Mimi basi..we mtoroke That Gentleman kisha Mimi nitapanga location ya kukutania