MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Haya mambo ya mitandaoni, tuyaachie mitandaoni tu.Kuonana na kupeana mkono.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo ya mitandaoni, tuyaachie mitandaoni tu.Kuonana na kupeana mkono.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya mambo ya mitandaoni, tuyaachie mitandaoni tu.
Hahaa..Nyie 🥰 au tuwafukuze JF tubaki peke yetu laazizi
[emoji3] maana yake tukisema ukweli kwa sisi tuliopo huku vijijini tunaweza onekana washamba zaidi.[emoji1787] Jf bwana!! Halafu sote tuko Dar.
Hahaa..
Unamaanisha tumnunue mpaka Max na Mods laazizi..???
Hapa lazima nibebe wahuni wangu wa Manzese lazima pochi zitembezwe
Mako dinda mako stamina bendera chuma mlingoti chuma lazima kieleweke
Single maza na single faza wote wa JF tuonane Mwanza nyumbani kwangu....siku ya Pasaka[emoji41]Siyo kwa ubaya bali kwa mema tu...tupange ratiba ya kuonana hata Mara mbili kwa mwaka....tunaonana kwa ajili ya kufurahi,kubadilishana mawazo,kubadilisha mazingira,kupeana michongo na vingine vingi visivyo na madhara.
Tusibaguane wala kuweka matabaka ...Mali ni zetu lakini uhai si Mali yetu bas muda huu tupo hai tutengeneze aman na upendo sisi kwa sisi.Tanzania ni yetu bas tusitengane wandugu.NAWAPENDA SANA!
Sawa mom,tutakaribiaSingle maza na single faza wote wa JF tuonane Mwanza nyumbani kwangu....siku ya Pasaka[emoji41]
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Tenda safi sana sema to yeye anabania watu kukutana eti wamehairisha[emoji38][emoji38][emoji38]naona utapata tenda mkuu
Naruhusiwa kuja na ka junior ?Single maza na single faza wote wa JF tuonane Mwanza nyumbani kwangu....siku ya Pasaka[emoji41]
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Sure girl. Watu waonane kwenye wings zao. Mimi niko Dom wa Dom wake tuweke mpango wa kuonana.Itabidi tujuane mikoa tuliyopo then we arrange meeting together
Wanafeli wapi sijui. Mambo to yeyeTatizo wanachomoa
Ndio mkuu unaruhusiwa kabisaNaruhusiwa kuja na ka junior ?