Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Ya Manzese mbona itakuwa fresh tu mama lao huku ni kama Dubai tu sema tofauti hakuna maghora marefuTuandae yetu ya Manzese mkuu[emoji38][emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya Manzese mbona itakuwa fresh tu mama lao huku ni kama Dubai tu sema tofauti hakuna maghora marefuTuandae yetu ya Manzese mkuu[emoji38][emoji38][emoji38]
Safi mkuu si ajabu naweza mpatie mama yake huko kwenye mikusanyo
Ndio mkuu utawapata wengi sana maan wote wataokuwepo watakua singleSafi mkuu si ajabu naweza mpatie mama yake huko kwenye mikusanyo
Kweli kabisa mama la mama kwenye wengi pana mengiNdio mkuu utawapata wengi sana maan wote wataokuwepo watakua single
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kitu kizito kipi hicho.? Hii habari itakua mpya. Enheeee nielezee kilinikuta nini hicho?Kilimkuta kitu kizito.ha ha haa
Ya Manzese mbona itakuwa fresh tu mama lao huku ni kama Dubai tu sema tofauti hakuna maghora marefu
Kuonanaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mambooo ni motoooooh lol
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kwani kuna mtu ametaka umuoe?[emoji1787][emoji1787] We mi mume wa mtu..[emoji41]
Mdogo wangu fanya tuonane basiMtakaoonana mtanihadithia
YeahKweli kabisa mama la mama kwenye wengi pana mengi
Njooni stendi,mimi nimetangulia na nauli.Tusiokua na nauli tutakutaniana wapi
Makundi matatu tu20-25,25-35,30-45,35-50,40-60,45-70,50-80 na kuendelea...kuingiliana kupo katika age coz kuna kijana ana mawazo ya kiutuuzima
Karibu sana hapa kwa Malkia mrembo wa JamiiForums ili tuonane.Siyo kwa ubaya bali kwa mema tu...tupange ratiba ya kuonana hata Mara mbili kwa mwaka....tunaonana kwa ajili ya kufurahi,kubadilishana mawazo,kubadilisha mazingira,kupeana michongo na vingine vingi visivyo na madhara.
Tusibaguane wala kuweka matabaka ...Mali ni zetu lakini uhai si Mali yetu bas muda huu tupo hai tutengeneze aman na upendo sisi kwa sisi.Tanzania ni yetu bas tusitengane wandugu.NAWAPENDA SANA!
[emoji16][emoji16] anko si mtu mzuri kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anko anahalalisha dhambi mubashara
Aisee! Mbona unataka kuyafanya kuwa makubwa😀Kwani kuna mtu ametaka umuoe?