WanaJF mnasemaje, nikamwambie baba kuhusu "mama" ama nimwache yamkute?

WanaJF mnasemaje, nikamwambie baba kuhusu "mama" ama nimwache yamkute?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Iko hivi:-
Mimi ni msichana, nimezaliwa peke yangu kwa baba na mama na nina miaka 23. Bahati mbaya mamangu allifariki miaka 4 iliyopita. Kwa muda wote huo babangu anaishi single na muda mwingi yuko peke yake, maana mm bado niko chuo.

Miezi 8 iliyopita baba alinitambulisha mwanamke fulani (umri wake ni 30s) kuwa ndiye mchumba wake, na anatarajia kumuoa. Baba yeye ana 54 hivi sasa na anampenda sana huyu mwanamke.

Lkn huyu mwanamke nishamuona club akiwa anacheza na jamaa fulani, mm nikapotezea. Wiki iliyopita nikiwa beach nikamuona tena kwa mbali akiwa na jamaa wanakimbizana, kisha wakakaa kimahaba na wakaanza kunyonyana mate(sina hakika kama ndiyo yule yule niliyemuona naye mara ya kwanza). Nilimuomba rafiki yangu awasogelee na awapige picha, pia achukue video. Akawasogelea na akavunga kama anaji-selfie kumbe anawadukua.

Video na picha za malavidavi waliyokuwa wakiyafanya zilichukuliwa na ninazo.

I love my dad, na sitaki afunge pingu za maisha na kahaba huyu. Naweza kumpoteza babangu kwa stress ama magonjwa ya zinaa..

Hivyo ninataka nipeleke ushahidi huu kwa baba ili amuache huyu mwanamke. WanaJF mnasemaje?
 
Miaka 54 na ana mtoto anatoa ili iweje!?
Ye mwambie aendelee kumgonga Wala asimuoe kama ni huduma atafute nurse awe anamlipa hata kumuogesha atamuogesha amhakikishie tu pato la mwezi
 
Iko hivi:-
Mimi ni msichana, nimezaliwa peke yangu kwa baba na mama na nina miaka 23. Bahati mbaya mamangu allifariki miaka 4 iliyopita. Kwa muda wote huo babangu anaishi single na muda mwingi yuko peke yake, maana mm bado niko chuo.

Miezi 8 iliyopita baba alinitambulisha mwanamke fulani (umri wake ni 30s) kuwa ndiye mchumba wake, na anatarajia kumuoa. Baba yeye ana 54 hivi sasa na anampenda sana huyu mwanamke.

Lkn huyu mwanamke nishamuona club akiwa anacheza na jamaa fulani, mm nikapotezea. Wiki iliyopita nikiwa beach nikamuona tena kwa mbali akiwa na jamaa wanakimbizana, kisha wakakaa kimahaba na wakaanza kunyonyana mate(sina hakika kama ndiyo yule yule niliyemuona naye mara ya kwanza). Nilimuomba rafiki yangu awasogelee na awapige picha, pia achukue video. Akawasogelea na akavunga kama anaji-selfie kumbe anawadukua.

Video na picha za malavidavi waliyokuwa wakiyafanya zilichukuliwa na ninazo.

I love my dad, na sitaki afunge pingu za maisha na kahaba huyu. Naweza kumpoteza babangu kwa stress ama magonjwa ya zinaa..

Hivyo ninataka nipeleke ushahidi huu kwa baba ili amuache huyu mwanamke. WanaJF mnasemaje?
Toa fundisho bila kujifanya mwanamke, post zote za nyuma wewe ni mwanaume unajulikana Mr Sexless
 
Nje ya mada,
Mimi baadhi ya watu nimeshindwa kuwaelewa, hivi inakuwaje mtu mmepishana miaka 20 au zaidi mnaoana. Yani tuchukulie mkaka aliye chuo Leo mwenye miaka 25, aje kuoa mtoto anaezaliwa leo miaka 25 ijayo. Hapana kwa kweli.
Yani kuna watu majasiri sana aisee
 
Kunyonyana ndimi tu umechanganyikiwa hivi🤨 je ungemkuta anairudishia mwenyewe baada ya kuchomoka?🤒
Ila wanawake na siye🤦
Ila wanaume nanyi...54 ndoa kabisa kwanini msivutane tu..onekana na kidogo endeleeni kuishi
 
Back
Top Bottom