WanaJF ninaowakubali sana humu ndani

WanaJF ninaowakubali sana humu ndani

Status
Not open for further replies.
Sky naye natamanigi hata angekua mama yangu alinishawishi nikawa memba hapa 2016
I shout to melo too jf ndo mpango
 
Halafu ukaja tena kuchangia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sawa unachoongea ila haupo sahihi.Sidhani kama ningeshdwa kuja na id yangu kutaja watu naowakubali. Ukizingatia nishaleta nyuzi nyingi humu hadi zinazonihusu mambo yangu binafsi/Nyeti. Je ndio ningeshindwa kufungua uzi kutaja ninawapenda...?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom