Ayyanna
JF-Expert Member
- Jan 5, 2020
- 397
- 2,648
Mimi sio mkuuKwann wasema hivo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio mkuuKwann wasema hivo mkuu
Upo wapi?Mimi sio mkuu
Niko hapa Jukwaani na weweUpo wapi?
Unavituko Ayyanna lol.Niko hapa Jukwaani na wewe
Nakukubali sana kisirisiri (sijawahi kukunukuu), Hivi humu unaweza kukutana na watu unaowakubali mpate hata Icecream?Thanks mkuu
Nakukubali sana kisirisiri (sijawahi kukunukuu), Hivi humu unaweza kukutana na watu unaowakubali mpate hata Icecream?
Wee uje na deli zima sasa maana napendaNjoo na Ice mimi nitakuja na cream 50/50
Thank you Arthur.Kutokana na Mada zao na michango yao humu ndani yenye kuelimisha na ukomavu wa fikra, Nawakubali sana.
Pascal Mayalla, Nguruvi3, barafu, Humble African, Paula Paul, habibu Anga, @JBourne69, Mag3, Rory Shunie Sakayo Depal Moana The Happiness @Ayyana Nitarudi
Umejuaje Vers?Nobody Hate Paula Paul
The Monk huyu kaka Ni wa tofauti sana humu ndani..Kutokana na Mada zao na michango yao humu ndani yenye kuelimisha na ukomavu wa fikra, Nawakubali sana.
Pascal Mayalla, Nguruvi3, barafu, Humble African, Paula Paul, habibu Anga, @JBourne69, Mag3, Rory Shunie Sakayo Depal Moana The Happiness @Ayyana Nitarudi
Kila mtu hua unasema hivo hvoThe Monk huyu kaka Ni wa tofauti sana humu ndani..
Nakuheshimu Sana brother kwa Muda mdogo sana niliokusoma humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokana na Mada zao na michango yao humu ndani yenye kuelimisha na ukomavu wa fikra, Nawakubali sana.
Pascal Mayalla, Nguruvi3, barafu, Humble African, Paula Paul, habibu Anga, @JBourne69, Mag3, Rory Shunie Sakayo Depal Moana The Happiness @Ayyana Nitarudi
Kwanini mkuu..?
I second that...
Kwanini mkuu..?
Upo sawa unachoongea ila haupo sahihi.Sidhani kama ningeshdwa kuja na id yangu kutaja watu naowakubali. Ukizingatia nishaleta nyuzi nyingi humu hadi zinazonihusu mambo yangu binafsi/Nyeti. Je ndio ningeshindwa kufungua uzi kutaja ninawapenda...?
It's good to have someone who knows you better, mpaka wanifananisha. Thanks for caring about me