Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha. Umekuwa mkali...!Tumia panadol.....
Kenge we
jamani serious?[emoji38][emoji38]Ni utoto tu ukikua utaacha!.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii kenge imepotea njia.
Jamani mpeni dawa basi[emoji23]Utabakwa jiangalie kenge
Jamani mtu yupo serious nyie mnamcheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mstari wa kwanza tu nimeangua kicheko,subiri kuwa nzi kabisa,kenge wewe
HahahahOndoeni hizi takataka
Hahaha mpeni dawaWewe kenge rudi majini...
Kumbe kenye haunijuiiiiiii eeeeehh eeehhh.😂Natanguliza samahani kwa wote waliooa, nipo chumbani kwa mtu ambaye kasafiri, muda huu nimetoka kuzini na mkewe. Baada ya kuzini yeye kageuka kenge, niliogopa mno kumbe mumewe alimtega.
Namimi kutahamaki nimegeuka kenge, [emoji24] yaani ikabidi niiume simu meno na kuibeba mpaka mezani ukizingatia nilikua mfupi mno kuufikia uso wameza.
Hapa nimejipinda naumia kweli kweli kwani nafosi kutype kwakutumia mkia wangu, natype taratibu nisije nikakwaruza kioo na kucha nikakosa msaada.
NB: Najielewa kuongea tu ndo siwezi. Dawa gani ya haraka haraka naweza kutumia hapa?
HahahahahKaombe msaada kwa kenge wenzio, hakuna kenge hapa jf bwege wewe
[emoji23][emoji23][emoji23]Subiri nawewe kubakwa
[emoji23][emoji23][emoji23]Nipo kuzimu muda huu,nawaona viongozi wa afrika na america
Kumbe yule raisi wa duniani alikuwa mwovu... yupo anachemsha damu hapa Mkewe na yeye wanakula pedi. Macho yangu nayo yanawaka sana. Wakuu Melo anatakiwa apate tuzo coz kazi ni kubwa kuiongoza jamii forums. Yeye kama alijua nitamuita why akimbie??? Kwamba mimi mwehu au? Na je,mganga alisemaje...www.jamiiforums.com
KICHAA KINATIBIKA MKUU
Nenda katumbukie mtoni utaponaNatanguliza samahani kwa wote waliooa, nipo chumbani kwa mtu ambaye kasafiri, muda huu nimetoka kuzini na mkewe. Baada ya kuzini yeye kageuka kenge, niliogopa mno kumbe mumewe alimtega.
Namimi kutahamaki nimegeuka kenge, [emoji24] yaani ikabidi niiume simu meno na kuibeba mpaka mezani ukizingatia nilikua mfupi mno kuufikia uso wameza.
Hapa nimejipinda naumia kweli kweli kwani nafosi kutype kwakutumia mkia wangu, natype taratibu nisije nikakwaruza kioo na kucha nikakosa msaada.
NB: Najielewa kuongea tu ndo siwezi. Dawa gani ya haraka haraka naweza kutumia hapa?