WanaJF nisaidieni nimechepuka na mke wa mtu

Sasa wee kenge mtu ushaona kenge anakuwa mtu maisha kila sehem nyie ndendeni tu mkaishi mtoni ila chondechonde msile vifaranga wa jirani
 
Usituharibie swaumu zetu tafadhali.. bwana kenge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nikusaidie kucheka maana nimecheka mpaka machozi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sahihi kbsa Ni upuuzi wa kiwango Cha lami

Mjinga sna huyu kijana alifu eti ndio kijana anategemewa kuleta chachu ya maendeleo
Mpeni msaada jamani. Ameshasema mgongo unamuuma mno mpeni msaada wa haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…