HIVI NDIO VISA VYA WANAWAKE SASA..Hahahahaha kumbe unamaanisha.loh!
Bonny hakuna chochote kinachoendelea kati yangu mimi na @mondray.mimi na mond ni marafiki wa kawaida kabisa.hilo naliweka wazi
Tuendelee na utani
Wewe sema tu....Utaniletea kinini chako sijui naogopa kukuaga
Bas utapata shida sana usjal endlea kupapasa sawa kijana wakt wenzio tunashika kabisaKabisa bila ubishi..
Mmmmh
Mchane huyo.naona haelewBas utapata shida sana usjal endlea kupapasa sawa kijana wakt wenzio tunashika kabisa
Ataenda kuamulia na kujikibali hosp.we mwache tuHuyu Kijana utamuua kwa presha mama embu mfikirie tena inaonekana bado hajaamua kukuachia
Nitamiss tu nilivyo mzoea na kumpenda but sitafariki.Huyu Kijana utamuua kwa presha mama embu mfikirie tena inaonekana bado hajaamua kukuachia
Asikutishe huyo sawa eeeee eheeeHa ha ha ha unasemaaa?????
Hahahahahahaha my darling,unaiacha jf saa ngapi nianze kutafuta madekio ya kudeki chumba chako kwa ajili ya mgeni mpya??Nitamiss tu nilivyo mzoea na kumpenda but sitafariki.
Hiyo ni kazi yenu nyie wa Darisalama..
Hujanipa nauli babaHua silazimishi penzi mimi kabisa..
Sawa safari njema...
Pole mdogo wangu ndio dunia ilivyo ukiibiwa na wewe tafuta mnyonge ummegeeNitamiss tu nilivyo mzoea na kumpenda but sitafariki.
Hiyo ni kazi yenu nyie wa Darisalama..
Hahaaaaaaaa anajitakia mtongozo wa lazima..Mmmmh hapa kaz ipo aiseee samaka anakuja bila chambo