Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahahaha
Mtoa uzi anazila kisa wachangiaji wamekutana.
Mie kila siku nasema, jukwaani ni kama ukumbi wa harusi au mkutano.
Ukikutana na mates zako lazima mpige story za kukumbushiana enzi za shule au chuo.
Tabia za kuzira zira sio nzuri kabisa.