WanaJF tunaopendana tukutane hapa tuoneshane upendo

WanaJF tunaopendana tukutane hapa tuoneshane upendo

"moyo wangu sukuma mpenz damu iachie mishipa"

mi namajonz ya kuachwa bhana so nawaona wanawake wote wana moyo mmoja.
lakini I MISS YOU all people.
 
"moyo wangu sukuma mpenz damu iachie mishipa"

mi namajonz ya kuachwa bhana so nawaona wanawake wote wana moyo mmoja.
lakini I MISS YOU all people.

Pole Sana, mkuu.
Nenda moja Kwa moja kwenye ukurasa wa kutafuta marafiki sijui wachumba mara mke utapata chombo kipya
 
Namwachia Mungu hili yeye ndiye muweza maana wewe tunakoelekea huku kwa kuwapenda mod sio kuzuri.

Au unataka kamoyo kangu kabust kama tube ya phonex ya Khantwe mamy?
Yani ungejua vile nakupenda Daby wangu hata usingeniwazia hayo

Nakupenda nakupenda nakupenda mwaah
 
Back
Top Bottom