WanaJF wa MMU tumoderate jukwaa letu

WanaJF wa MMU tumoderate jukwaa letu

Status
Not open for further replies.
Mkuu hujamuelewa muanzisha thread.
Ni kuwa anataka kupewa kazi ya u-mod ili aweze kufaidi vizuri yeye na "magwiji wenziye wa jukwaa hili"
Jamani wahusika naombeni huyu jamaa apatiwe tu hiyo kazi.
Akishindwa, akaanzishe forum yake.

Mkuu sitaki na sijawahi kutaka kazi ya u mod. Sina muda huo. Hoja yangu ilikuwa ni sisi wenyewe kuji moderate wenyewe.
 
Kwa kweli inaboa sana, kuna wakati ukiingia humu unasoma tu jina la mtoa mada na kufungua sababu unajua huyu hawezi toa za ajabuajabu,
<br />
<br />
kumbe ndio maana kuna threads zingine nzuri lakini zinakosa wachangiaji kwa sababu watu mnaangalia majina. Sio vizuri hivyo.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
EMT

Kinachokukasirisha ni kuwa watu wanaomba ushauri wasiouhitajia tu au?

Hakuna ubaya kuanzisha thread ambayo itaibua mijadala iwe ni kweli au uongo.

Sijaona mantiki ya posts kufutwa just kwa kuwa mtu ameomba ushauri unaotofautiana ndani ya siku chache. Ni kuingilia uhuru wa kuchangia. As long as hakujavunjwa sheria waachwe waandike watakacho, asieipenda mada asichangie tu
 
Mkuu sitaki na sijawahi kutaka kazi ya u mod. Sina muda huo. Hoja yangu ilikuwa ni sisi wenyewe kuji moderate wenyewe.

Sisi wenyewe kujimoderate wkt umenikomalia mimi kana kwamba nimeua!
Usilazimishe mtazamo wako uwe Torati.
 
Mbona nilivyom question kwenye thread husika kuwa threads zake mbili zinazojicontradict hakusema kuwa ana wake zaidi ya mmoja? Hata kwenye hii thread si angesema tuu ana wake zaidi ya mmoja? Is that so difficult?

Lets say kadanganya so what?

Mbona mnapenda kujikera na mambo madogo hivo? Unajuaje kuwa wengine hawadanganyi just kwa sababu wanajua kustick na uongo wao mmoja kola siku tu?
 
I WOULD RATHER START MY WEEKEND THAN WASTING MY TIME ARGUING WITH .........temu.
Kwa herini wapendwa.
SAMAHANI KWA YEYOTE NILIYEMKWAZA KWA NAMNA YOYOTE ILE.
Wishing you all a nice weekend.
Luv you all.
Bye!
 
Mkuu hivi kuna sheria inataka mtu aseme ukweli tu hapa JF..., <br />
<br />
Mimi naona ni bora kutokuangalia ni nani amepost bali ni nini amepost sababu majibu ya wanajamvi yanaweza kumsaidia sio mtoa mada tu bali hata msomaji.... mfano hio ya kupiga kelele kwenye nyumba ya kupanga ushauri wa kuwa wanaenda guest au kuweka ceiling board na sound proof kwenye chumba ingeweza kuwasaidia kwenye ndoa yao (hata kama sio yeye huenda kuna mwingine anakumbwa na tatizo kama alilosema yeye...), Je ni kweli tuache kumwamini muongo hata kama akisema ukweli..?, Je akidanganya kwenye A na B je ndio kusema na kwenye C pia amedanganya..?, tunapochangia hoja je tunamjibu mtoa hoja au hoja iliyochangiwa..?
<br />
<br />
kweli kabisa VOR, watu wamezidi kuwachunguza watoa hoja na ndio maana wengi wakiwa na matatizo ya ukweli huamua kuja na ID nyingine. Sio vizuri kabisa. Tuwe tunachangia hoja, ukitaka kumchunguza mtu jf kama anasema ukweli au uongo ni ngumu sana.
 
Kwa kweli mimi naomba sana Mods waangalie sana hii issue..., kuondolewa kwa posts kuwa pale tu kama sheria imevunjwa... tukianza kuchaguliana jinsi ya kupost.., mtafanya wengine tuwe wasomaji tu, na kushindwa ku-post kile ambacho tunataka kukielezea..... where is daring and speaking openly if that includes shutting people mouth or telling them how and what to post... (ukizingatia mtu hajavunja sheria)
 
Mkuu hivi kuna sheria inataka mtu aseme ukweli tu hapa JF...,

Mimi naona ni bora kutokuangalia ni nani amepost bali ni nini amepost sababu majibu ya wanajamvi yanaweza kumsaidia sio mtoa mada tu bali hata msomaji.... mfano hio ya kupiga kelele kwenye nyumba ya kupanga ushauri wa kuwa wanaenda guest au kuweka ceiling board na sound proof kwenye chumba ingeweza kuwasaidia kwenye ndoa yao (hata kama sio yeye huenda kuna mwingine anakumbwa na tatizo kama alilosema yeye...), Je ni kweli tuache kumwamini muongo hata kama akisema ukweli..?, Je akidanganya kwenye A na B je ndio kusema na kwenye C pia amedanganya..?, tunapochangia hoja je tunamjibu mtoa hoja au hoja iliyochangiwa..?

Hapo I respect your opinion lakini sikubaliani nayo unless kichokuwa posted ni hypothetical. kama alikuwa amepost hypothetical question kama wengine wanavyofanya, sidhani kama kuna tatizo. Lakini kama mtu anakuja kuomba ushauri juu ya jambo tatizo (mke kupiga kelele anapofika kileleni) anashauriwa halafu few days anakuja tena kuomba ushauri juu ya kushindwa kumfikisha kumfikisha mkewe kileleni, lazima mtu ajiulize.
 
Na huyo mod aliefuta hiyo thread naye atakuwa mlugaluga.iweje aibuke tu afute wakati thread haina matusi na wala haijavunja sheria?
 
tupo wengi tu tunaodanganya.

Kisha tutaambiwa mada haina mantiki kwa sababu kasema uongo, wakati hao wachangiaji nao wanasema uongo all the time.

Hatuwezi kukaa tukaamua hichi kina mantiki na hiki hakina kwa sababu watu wanatofautiana kimtazamo, kimaendeleo, kielimu, malezi na mengineyo

Mtu akiona mada haina mantiki asepe aiache itakufa wenyewe tu

Btw mada ya Jana ya The Finest kwa mfano ilikuwa na mantiki gani ambayo ilichangiwa na maalwatan wote na kujazwa picha kede wa kede?

Tusitafute kujiona sisi bora
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Na huyo mod aliefuta hiyo thread naye atakuwa mlugaluga.iweje aibuke tu afute wakati thread haina matusi na wala haijavunja sheria?


Mie nafikiri hata wachangiaji huchangia saana Thread kufutwa hata kama haina matusi.... Wachangiaji hutoa baadhi ya maneno ambayo kwa kweli ni mazito....
 
Hakukuwa na lugha chafu katika hizo mada zote mbili ambazo umezitolea mfano. Na madhali hazikuvunja sheria za JF mimi sikuona kama zina ubaya wowote. Nilizisoma na nilipoona sina la kuchangia wala sikujihangaisha. Niliendelea kwingine tu.

The motto of this forum is where we dare talk openly. So why try to infringe upon people's right to freely express themselves so long as they are not breaking any of the forum's rules?

What objective standard(s) are you going to use to determine if a topic is not worthy of being here? I am not in favor of censoring free speech especially if the forum prides itself in being the place where people can dare talk openly so long as they abide the established rules.

Let people express themselves bana. Hupendi wanachokibandika au wanachokiandika...sepa kwingine. As simple as that.

If they're not breaking any JF rules why the other thead of yours was deleted then? Myself I am against censoring free speech. That is why I am opposing the new JF system of moderating MMU. Don't get me wrong, I do believe that people have the right to express themselves, voice their opinions, and criticize others. However, I think there is a difference between mocking and ridiculing others, and criticizing them in a respectful and decent manner. I personally feel that nowadays, many people abuse their freedom of speech, especially over the internet. I believe that it is most common over the internet because a lot of the time, the identitities of people are hidden. This allows people to say whatever they want and still remain anonymous.
 
Kuna mada unakuta pages 15 na zaidi ni ma gwiji tu wanajibizana

'aaaawww u r so kind'
'not as much as you'

na mengineyo ya namna hiyo ambao hao waasisi wa jukwaa wanashiriki kikamilifu.

Hizi Kama kutumia mantiki ya Gaijin zingefaa kufutwa zaidi kuliko zinazobuni scenario hasa za maisha ya kawaida ya kila siku.

But mantiki ya Gaijin na member mwengine yoyote haihusiki hapo na ndio maana thread za aina hiyo zimejaa kwenye archives

Let ppl express themselves as they see fit, hii ya kufata mantiki ya fulani ni kuoneana kimtindo
 
Kweli kabisa. Uniqueness ya JF ni freedom inyotoa kwa members. Mwisho tutaomba ku moderate comments maana kama mtu ni mpuuzi anaweza akaandika upuuzi wake kwenye comments. Naamini sana kwenye uhuru. Mkianza moderation mtapoteza members.

Ni very subjective kusema hii thread ina point hii ina pumba. Hata kama mtu ametunga bado yaweza kuwa tatizo lina exist kwa mwingine kwa hiyo sioni tatizo. Kama unajua nani anatoa thread za maana (kwa mtazamo wako) basi ni heri tu ukapotezea thread za usowajua au unaowajua ni wazushi. Kwa maana kwamba usizifungue.

Pamoja na mawazo mazuri ya EMT mimi na beg to differ.Binafsi kuna kipindi nilikuwa sikosi kwenye blog ya Issa Michuzi.Moderatation ndo ilinitoa nduki huko na nina miaka sijaenda huko.Moderation can make you feel stupid maana unajikunja unaona umefungua thread ya maana kisha mod in his considered opinion anakutolea nje,it hurts.
ushauri: Mods acheni threads ziingie jukwaani na kisha sisi members ndo tuchambue kipi mpunga na kipi mchele.Pumba tunapotezea mchele tunapiga ma comments na ma likes.Afterall threads kibao mmu huwa zinaishia kupata ma views kibao with few comments.Sisi ni watu wazima bana tuacheni tujiamulie cha kusoma na cha kudharau.
 
Hapa karibu kila kitu ni hiari! Hulazimiki kumshauri mtu kama huna cha kumshauri au kama unaona alichouliza hakina mantiki. Wewe potezea tu na sepa kwingine ambako unaona unaweza ukatoa mchango wako.

Kama mada kwako ni ya kijinga basi iache tu. Waachie wajinga waiendeleze. Wewe sepa kwa werevu wenzio. Ugumu uko wapi hapo?

Sawa mkuu next nitawaachiwa hao "wajinga" waindeleze. Kwa sababu thread itakuwa ya kijinga na wao ni wajinga I am sure wataindeleza? Au kuna ugumu hapo?
 
Kisha tutaambiwa mada haina mantiki kwa sababu kasema uongo, wakati hao wachangiaji nao wanasema uongo all the time. <br />
<br />
Hatuwezi kukaa tukaamua hichi kina mantiki na hiki hakina kwa sababu watu wanatofautiana kimtazamo, kimaendeleo, kielimu, malezi na mengineyo<br />
<br />
Mtu akiona mada haina mantiki asepe aiache itakufa wenyewe tu<br />
<br />
Btw mada ya Jana ya The Finest kwa mfano ilikuwa na mantiki gani ambayo ilichangiwa na maalwatan wote na kujazwa picha kede wa kede?<br />
<br />
Tusitafute kujiona sisi bora
<br />
<br />
halafu kuna mada zingine zinazarauliwa ila ni nzuri, kuna watu wanaomba ushauri wamekwama ila unakuta wamechuniwa, muda huo huo ikianzishwa thread nyingine hata kama ni ya masihara ilimradi imeanzishwa na member anayeaminiwa hatoi pumba (blackberry atasibitisha)itachangiwa hadi na watu waliopotea jf.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom