Mkuu hujamuelewa muanzisha thread.
Ni kuwa anataka kupewa kazi ya u-mod ili aweze kufaidi vizuri yeye na "magwiji wenziye wa jukwaa hili"
Jamani wahusika naombeni huyu jamaa apatiwe tu hiyo kazi.
Akishindwa, akaanzishe forum yake.
<br />Kwa kweli inaboa sana, kuna wakati ukiingia humu unasoma tu jina la mtoa mada na kufungua sababu unajua huyu hawezi toa za ajabuajabu,
Mkuu sitaki na sijawahi kutaka kazi ya u mod. Sina muda huo. Hoja yangu ilikuwa ni sisi wenyewe kuji moderate wenyewe.
Mbona nilivyom question kwenye thread husika kuwa threads zake mbili zinazojicontradict hakusema kuwa ana wake zaidi ya mmoja? Hata kwenye hii thread si angesema tuu ana wake zaidi ya mmoja? Is that so difficult?
Sisi wenyewe kujimoderate wkt umenikomalia mimi kana kwamba nimeua!
Usilazimishe mtazamo wako uwe Torati.
Lets say kadanganya so what?
Mbona mnapenda kujikera na mambo madogo hivo? Unajuaje kuwa wengine hawadanganyi just kwa sababu wanajua kustick na uongo wao mmoja kola siku tu?
<br />Mkuu hivi kuna sheria inataka mtu aseme ukweli tu hapa JF..., <br />
<br />
Mimi naona ni bora kutokuangalia ni nani amepost bali ni nini amepost sababu majibu ya wanajamvi yanaweza kumsaidia sio mtoa mada tu bali hata msomaji.... mfano hio ya kupiga kelele kwenye nyumba ya kupanga ushauri wa kuwa wanaenda guest au kuweka ceiling board na sound proof kwenye chumba ingeweza kuwasaidia kwenye ndoa yao (hata kama sio yeye huenda kuna mwingine anakumbwa na tatizo kama alilosema yeye...), Je ni kweli tuache kumwamini muongo hata kama akisema ukweli..?, Je akidanganya kwenye A na B je ndio kusema na kwenye C pia amedanganya..?, tunapochangia hoja je tunamjibu mtoa hoja au hoja iliyochangiwa..?
<br />Unajuaje kuwa wengine hawadanganyi just kwa sababu wanajua kustick na uongo wao mmoja kola siku tu?
Mkuu hivi kuna sheria inataka mtu aseme ukweli tu hapa JF...,
Mimi naona ni bora kutokuangalia ni nani amepost bali ni nini amepost sababu majibu ya wanajamvi yanaweza kumsaidia sio mtoa mada tu bali hata msomaji.... mfano hio ya kupiga kelele kwenye nyumba ya kupanga ushauri wa kuwa wanaenda guest au kuweka ceiling board na sound proof kwenye chumba ingeweza kuwasaidia kwenye ndoa yao (hata kama sio yeye huenda kuna mwingine anakumbwa na tatizo kama alilosema yeye...), Je ni kweli tuache kumwamini muongo hata kama akisema ukweli..?, Je akidanganya kwenye A na B je ndio kusema na kwenye C pia amedanganya..?, tunapochangia hoja je tunamjibu mtoa hoja au hoja iliyochangiwa..?
tupo wengi tu tunaodanganya.
Na huyo mod aliefuta hiyo thread naye atakuwa mlugaluga.iweje aibuke tu afute wakati thread haina matusi na wala haijavunja sheria?
Hakukuwa na lugha chafu katika hizo mada zote mbili ambazo umezitolea mfano. Na madhali hazikuvunja sheria za JF mimi sikuona kama zina ubaya wowote. Nilizisoma na nilipoona sina la kuchangia wala sikujihangaisha. Niliendelea kwingine tu.
The motto of this forum is where we dare talk openly. So why try to infringe upon people's right to freely express themselves so long as they are not breaking any of the forum's rules?
What objective standard(s) are you going to use to determine if a topic is not worthy of being here? I am not in favor of censoring free speech especially if the forum prides itself in being the place where people can dare talk openly so long as they abide the established rules.
Let people express themselves bana. Hupendi wanachokibandika au wanachokiandika...sepa kwingine. As simple as that.
Pamoja na mawazo mazuri ya EMT mimi na beg to differ.Binafsi kuna kipindi nilikuwa sikosi kwenye blog ya Issa Michuzi.Moderatation ndo ilinitoa nduki huko na nina miaka sijaenda huko.Moderation can make you feel stupid maana unajikunja unaona umefungua thread ya maana kisha mod in his considered opinion anakutolea nje,it hurts.
ushauri: Mods acheni threads ziingie jukwaani na kisha sisi members ndo tuchambue kipi mpunga na kipi mchele.Pumba tunapotezea mchele tunapiga ma comments na ma likes.Afterall threads kibao mmu huwa zinaishia kupata ma views kibao with few comments.Sisi ni watu wazima bana tuacheni tujiamulie cha kusoma na cha kudharau.
Hapa karibu kila kitu ni hiari! Hulazimiki kumshauri mtu kama huna cha kumshauri au kama unaona alichouliza hakina mantiki. Wewe potezea tu na sepa kwingine ambako unaona unaweza ukatoa mchango wako.
Kama mada kwako ni ya kijinga basi iache tu. Waachie wajinga waiendeleze. Wewe sepa kwa werevu wenzio. Ugumu uko wapi hapo?
<br />Kisha tutaambiwa mada haina mantiki kwa sababu kasema uongo, wakati hao wachangiaji nao wanasema uongo all the time. <br />
<br />
Hatuwezi kukaa tukaamua hichi kina mantiki na hiki hakina kwa sababu watu wanatofautiana kimtazamo, kimaendeleo, kielimu, malezi na mengineyo<br />
<br />
Mtu akiona mada haina mantiki asepe aiache itakufa wenyewe tu<br />
<br />
Btw mada ya Jana ya The Finest kwa mfano ilikuwa na mantiki gani ambayo ilichangiwa na maalwatan wote na kujazwa picha kede wa kede?<br />
<br />
Tusitafute kujiona sisi bora