WanaJF waishio Mwanza tufahamiane

Nawatakia wana Mwanza wote kila la kheri
 
ha ha ha haaa!! hivi kumbe na mimi niko mwanza!! haya karibuni nyote mwanza.
 
Mm niko mahina ya kanyerere maeneo ya kibaoni,ni mchoraji mzuri sana kwenye saloon za kike na kiume,na chochote kile utakachokua ukihitaji kwenye huduma ya uchoraji

Ni pm kwa maelezo zaidi na mengineyo mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…